Kutujazia FFU chuoni kwetu wakati ni kweli hatuna hata asilimia sifuri ya mkopo!.......

PRODIGOUS

Member
Apr 8, 2011
10
6
Jamani hebu sikieni hii! Zaidi ya wanafunzi elfu moja waliojiunga mwaka wa kwanza mwaka 2011, hawana mkopo chuo kikuu cha Dar es salaam wataishije? wengine wamelazimika kughairi mwaka. leo walipoandamana kujua mustakabali wao, magari ya FFU ndio yaliyotumwa kutoa majibu.
Hivi kweli kama serilkali ya mwalimu isingewafadhili hao wanaowahujumu watoto wa wakulima leo wangekalia hivyo viti na kupulizwa na AC?
 
Inaskitisha sana pesa za safari kwenda ughaibuni kunywa kahawa na wadachi zipo lkn za kuwasomesha wtz zimekosa.
 
Dr wa ukweli aliwa ahidi elimu bure mpaka chuo kikuu mkamdharau na kumnyima kura sasa mambo ndio kama hivyo tena jk hata kuwakopa amegoma,any way poleni sasa cha msingi ni kujiandikisha kwa wingi uchaguzi ujao ili tumtoe huyo mdudu fisadi madarakani.kingine muwaelimishe wazazi wenu kua wizi wanaofanya hawa jamaa wa magamba ndio unaosababisha yote haya.gari alizo nunua riz1 ni heletosha ta kuwasomesha wote,poleni kwa mabomu sasa sijui ndio mafunzo gani hayo mnayopata huko,au kunakozi amanzisha ya kupambana na mabomu ya machozi?
 
FFU wanatakiwa wamwage pale ndani ya Ikulu na ofisi zote za magamba watembeze mkong'oto wa hali ya juu kwa wasanii na mafisadi wote wanaoiangamiza nchi yetu.
 
watanzania tusichoke kudai haki zetu kwa njia yeyote ile.kwanza naomba watanzania wote tususie sherehe za miaka 50 ya uhuru maana serekali inatumia ma billion ya fedha kufanya sherehe wakati wanafunzi vyuoni hawana fedha za kujikimu, shule za sekondari hazina walimu, na chakula. vijijini hakuna vituo vya afya na madawa,watanazia hawapati maji safi na salama,watanzania wanazulumiwa na vigogo haki zao,madini wazawa wanazuiliwa kuchimba ili tumnufaishe mwekezaji.Mimi na wewe tunaweza kuibadili tanzania
 
Dr wa ukweli aliwa ahidi elimu bure mpaka chuo kikuu mkamdharau na kumnyima kura sasa mambo ndio kama hivyo tena jk hata kuwakopa amegoma,any way poleni sasa cha msingi ni kujiandikisha kwa wingi uchaguzi ujao ili tumtoe huyo mdudu fisadi madarakani.kingine muwaelimishe wazazi wenu kua wizi wanaofanya hawa jamaa wa magamba ndio unaosababisha yote haya.gari alizo nunua riz1 ni heletosha ta kuwasomesha wote,poleni kwa mabomu sasa sijui ndio mafunzo gani hayo mnayopata huko,au kunakozi amanzisha ya kupambana na mabomu ya machozi?
Koh koh, excuse me..Dr..? Dr. wa Canon Law?? sasa zina tofauti gani na PhD za m.kwere?
BTW, hakuna muujiza.. hiyo hela ya kusomesha watu bure haipo serikalini..ipo mfukoni mwenu nyie wananchi wakwepa kodi na wavivuna wazembe!
 
Jamani hebu sikieni hii! Zaidi ya wanafunzi elfu moja waliojiunga mwaka wa kwanza mwaka 2011, hawana mkopo chuo kikuu cha Dar es salaam wataishije? wengine wamelazimika kughairi mwaka. leo walipoandamana kujua mustakabali wao, magari ya FFU ndio yaliyotumwa kutoa majibu.
Hivi kweli kama serilkali ya mwalimu isingewafadhili hao wanaowahujumu watoto wa wakulima leo wangekalia hivyo viti na kupulizwa na AC?
huku kwingine harakati zinaendele soooooooooooon kitatanuka......... tuuuuuu
 
Koh koh, excuse me..Dr..? Dr. wa Canon Law?? sasa zina tofauti gani na PhD za m.kwere?
BTW, hakuna muujiza.. hiyo hela ya kusomesha watu bure haipo serikalini..ipo mfukoni mwenu nyie wananchi wakwepa kodi na wavivuna wazembe!

ni bora ukose mali upate akili...
source: ramadhani masanja.
 
Wanafunzi wa TZ ni wabinafsi na hawana umoja kabisa,yani kwa kuwa baadhi yao wamepata mikopo basi hawataki kuungana na wenzao waliozimwa kwa muda mfupi na hao FFU kwa kutumia mbinu zao za kiintelijensia.WANAFUNZI UNGANENI WOTE HILI TATIZO NDIO LITASHUGHULIKIWA VYUO VYOTE TZ AMKENI.

No one will give you justice,equality and your rights if you know you deserve it take it and never beg for it insteady you demand it.
 
Wanafunzi wa TZ ni wabinafsi na hawana umoja kabisa,yani kwa kuwa baadhi yao wamepata mikopo basi hawataki kuungana na wenzao waliozimwa kwa muda mfupi na hao FFU kwa kutumia mbinu zao za kiintelijensia.WANAFUNZI UNGANENI WOTE HILI TATIZO NDIO LITASHUGHULIKIWA VYUO VYOTE TZ AMKENI.

No one will give you justice,equality and your rights if you know you deserve it take it and never beg for it insteady you demand it.

sijawah ona 1st yr washamba kama hawa wa mwaka huu hapa udsm,sijui ni utoto,yani hawana umoja kabisa,natabir tukiondoka sisi na hawa madogo wa 2nd yr,udsm kitakua chuo cha kilokole.
 
Kwanza sasa hivi hata DARUSO imefulia enzi zetu na kina Julius Mtatiro hakuna mwanafunzi anarudi nyumbani kwa kukossa mkopo na mkiamua Kunji non stop na hakuna anayekwepa kunji sasa nyinyi mnaandamana DARUSO wanawapiga bit anyway watoto wa miaka hii umayai mmezidi watoto wa chipsi mayai UDM ilikuwa inasifika kwa kupeleka ujumbe kwa kunji kweli hata siku tatu haziishi utekelezaji juu nyie mnabip poleni sana kwa kushindwa kuwa wamoja na serikali ikilitambuwa hilo itawafanya inachotaka maana hamna umoja wengine waingia darasani wengine wagoma da mbaya sana hii.Ila mliokosa mikopo tunawaombea Mungu awe nayi acheni wasaliti ipo siku watajuwa adha ya kukosa mkopo
 
Jamani hebu sikieni hii! Zaidi ya wanafunzi elfu moja waliojiunga mwaka wa kwanza mwaka 2011, hawana mkopo chuo kikuu cha Dar es salaam wataishije? wengine wamelazimika kughairi mwaka. leo walipoandamana kujua mustakabali wao, magari ya FFU ndio yaliyotumwa kutoa majibu. Hivi kweli kama serilkali ya mwalimu isingewafadhili hao wanaowahujumu watoto wa wakulima leo wangekalia hivyo viti na kupulizwa na AC?
...Mwalimu hayupo tena. Inabidi mjue namna ya kuishi bila yeye.

...Hivi sasa, hamna anayekumbuka wala kujali alikotoka na tunakokwenda.
 
Nilisikitika kuona kuwa polisi ndio walioanzisha fujo, huu ni ujinga. Hatutaacha mpaka kieleweke.
 
Wanapaswa wawalaumu wazazi wao.

Serikali haina uwezo wa kuwasomesha wanafunzi wote wanaoingia chuo kikuu. Bodi ya mikopo inaongozwa na bajeti na si siasa.

Nawatakieni Maisha Mema. MUNGU AWABARIKI.
 
Back
Top Bottom