Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,216
- 113,510
Fab kumbe wewe ni mudada nimefurahi kujua hivo
Ya kwenye mtandao si ya kuaminika kihivyo...usishangae Fab akiwa njemba.....
Fab kumbe wewe ni mudada nimefurahi kujua hivo
Komredi wewe umewahi tokewa na she?
Kama mara ngapi vile?
Oooh Komredi...mbona mara kibao tu. Matter of fact...sikumbuki mara ya mwisho mimi kutongoza demu ilikuwa lini. Sitashangaa kama hata kutongoza kwenyewe nimesahau (as if kuna formula ya kutongoza).
Sijui ni nini tu Komredi...lakini huwaga inatokea mademu wananizimia tu wenyewe....kuna baadhi wamewahi kuniambia eti ni jinsi ninavyo ji "carry".....wengine wamewahi kuniambia "swagger" yangu inavutia (inawavutia).....so I don't know man....
Hahahaha si mchezo Komredi
Lakini mademu wa kibongo si unajua vitu wanavyo fagilia? Bila shaka unavyo ndo maana wanajileta wenyewe.
Bravo sana komredi, all in all mademu wakipigana juu yako yaani wawe wanakugombania dah bonge la ujiko.
Komredi...ofu kozi inanipa bichwa sana kuona mademu wananizimia lakini hiyo haimaanishi kwamba ni rahisi kupata good match iliyo compatible na wewe. ..
Hehehehe kuna kitu wadau wanasema unaweza ukampenda demu yaani umezimika kiukweli kweli lakini yeye hajakuzimia kabisaaa alafu kuna ile demu anaweza kukuzimia kabisaa yaani halali bila kusikia sauti yako lakini wewe ndo hivyo unampotezea kabisaaa.
Unajua kumatch na demu kweli ni kazi ngumu sana ndo maana mm naishia kuhit na kurun maana nikazi si ndogo.
Usafi Komredi ni jambo la msingi sana la muhimu achilia mbali kinywa hata kwenye mashine nako unakuta mwingine kinywa msafi lakini mashine dah inatema balaa maji taka kitendo cha kuvua kufuri rumu inakuwa imesha haribika kwa harufu nzito. Baada ya kudadisi mda mrefu niliambiwa kuwa eti wengine wanaona wakisugua kwa ndani inatekenya kwa hiyo wao usafi ni juu juu tu.
Kweli komredi usafi ni jambo la muhimu na la msingi.
Bahati ya mtende hii huwa naililia sana.
Hapa mm naweza kuchomoka na kilo 2 maana nitakuwa nafagia tu hasa hasa manyambizi.
Ni kweli WS unachosema? Mimi siamini kwani hata kwa wanyama mfano kuku Jogoo, Mbuzi mwangalie Beberu ndiye hutongoza nawe unasema ni pande zote. SiaminiBazazi nawe.Mbona unairudisha dunia nyuma?habari ya kutongoza ni kwa pande zote mbili.
Bahati ya mtende hii huwa naililia sana.
Hapa mm naweza kuchomoka na kilo 2 maana nitakuwa nafagia tu hasa hasa manyambizi.
Jana ktk EATV "Strictly Kenyan" kulikuwa na mada kuhusu wanawake wa Kenya kuanza kwa kasi ya ajabu kutongoza wanaume. Wahojiwa walikuwa wanaume na wanawake; na wote waliliona kuwa ni jambo la kawaida kabisa na kuliunga mkono. Lakini miye BAZAZI nina wasiwasi kama huo ni mpango wa YEHOVA Mungu. Ukiangalia wanyama na ndege wote utaona kuwa watongozaji ni wakiume. Kwa sababu hiyo ndio maana kwa Binadamu wanawake ni wazuri ili wawavutie wanaume lakini wanyama/ndege kwa vile hawana uwezo wa kuongea Mungu aliwafanya wa Kiume kuwa wazuri ili kuwafutia wanawake. Naomba kukosolewa kwa haki. Nawakilisha
Fab kumbe wewe ni mudada nimefurahi kujua hivo
Bazazi
Ukiangalia wanyama na ndege wote wanaishi kwenye viota, nyika na mapango au nyika, meaning hawataki/ hawawezi ku manipulate environment to their own good.Sasa unataka humanity yote irudi kwa wanayama na nege? Kuishi katika viota, nyika na mapango?
alikuwa anaamanisha we are the same species ragardless,wengine wapo baharini,kny mapango etc
In any other way, the rest of the inhabitants of planet earth cannot reason, record and communicate at the same level as "homo sapiens sapiens"