“KUTONGOZA” - Kukubaliwa AMA Kukataliwa…. What gives??

....unyuzi mzuri na mdahalo wake nitaufuatilia baadae...khaa...
mie niliyetongozewa na mashenga kwa barua ndani ya kitambaa cheupe
acha nikae pembeni kwanza nisome maujuzi...

Najua bro unatafuta maevidence kwanza utakavyo anza kushuka na kufunguka watu tunakusubili
 
Kuna jirani yangu alikosa mke kwa kukosa hata TV getoni kwake, wazazi wakasema huyu jirani yangu ni mhuni wakamtimua anaoaje hana hata asset ndani ya nyumba?

Ukute mambo kumbe yalikuwa hayaja kaa vizuri.
Baada ya mwaka unamsahau.
Maisha haya ajuae ya kesho italeta nini hakuna bana.
Hamna haja ya kumponda mtu kisa leo ni kabwela, na ukasahau kuwa ni hard worker.
 
tatizo wanaume wa sasa hawajielewi wala hawajiamini wanapenda kuchunwa chunwa tu
wanapenda kuonekana wako juu so wanapata wanawake wenye mawenge hvo hvo ie hela bandia mkufu bandia
mtu na akili zako huwezi kukodisha ambulance na eti wanawake mtaani wakukubali na hao wanaoshobokea ambulance wote akili zenu mbovu
wanawake wenye akili wala hawaangalii mambo makubwa kuna vitu tu basic watu wanaangalia

Kwenye hili la kuchunwa inategemea unalitazama vipi. Ukiniuliza mimi, nitamuhesabu mwanamke kama 'kamchuna' mwanaume endepo mwanaume huyo amemuhonga vitu/pesa ili 'alale' nae na somehow mwanamke akapiga chenga. Lakini kama mwanaume anatoa pesa na kupata anachotaka...sioni ni vipi utasema 'amechunwa'!...to me its just another arm's length transaction.

Halafu, kama tunakubaliana na hoja kwamba kiuhalisia siku hizi wanawake walio wengi ni materialists, then unachokisema hapa ni kuwa siku hzi kuna wanawake wachache sana wenye akili?
 
Shikamoo dada mkubwa,hii ya leo kali dada,hope ujumbe umewafikia,japo ndio hivyo siku hizi mambo yamebadilika na pesa imechukua nafsi yake no matter wat kind of personality watu hawajali iwe kuna upendo au hakuna upendo cha msingi pesa ipo na jamaa wanakuwa uhakika wa kumpata yoyote,cha msingi wadada tusiangalie pesa zaidi,upendo ndio unamata pesa zaweza kuisha na zinaweza kutafutwa pia ila upendo unadumu na kwa pamoja mtatafuta pesa!


Marhaba mdogo wangu.... Naona unakubaliana na SMU, The Finest, Mwanakili, Sinziga.... yaani karibu wooote wanasema haya haya... Dah!
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Hahahaha umenikumbusha Mwanahawa wa Tandale kwa Mtogole i see nilitua mabegi kwake toto la kitanga full maufundi

Unayempenda kama huyu,yeye wala hana habar nawe,unafurai kupata huduma yake,bt yeye kufika kilelen mpaka amuwaze bwana wake mwingne.
 
Ukute mambo kumbe yalikuwa hayaja kaa vizuri.
Baada ya mwaka unamsahau.
Maisha haya ajuae ya kesho italeta nini hakuna bana.
Hamna haja ya kumponda mtu kisa leo ni kabwela, na ukasahau kuwa ni hard worker.

Wazazi siku zote hawataki binti wao ateseke kesho arudi nyumbani kuomba kodi,chumvi n.k
Ndo maana wanaamua kumwekea muoaji kauzibe
 
Ashadii nimekupata. Ila nilichogundua hii mada ya mahusiano iko complicated kama watu wenyewe walivyo.


Umeona eeeh?? Hata hivo mpaka hapa inaonekana material things ndo yamata kwa watongozwaji wengi.....
 
Kwenye hili la kuchunwa inategemea kunalitazama vipi. Ukiniuliza mimi, nitamuhesabu mwanamke kama 'kamchuna' mwanaume endepo mwanaume huyo amemuhonga vitu/pesa ili 'alale' nae na somehow mwanamke akapiga chenga. Lakini kama mwanaume anatoa pesa na kupata anachotaka...sioni ni vipi utasema 'amechunwa'!...to me its just another arm's length transaction.

Halafu, kama tunakubaliana na hoja kwamba kiuhalisia siku hizi wanawake walio wengi ni materialists, then unachokisema hapa ni kuwa siku hzi kuna wanawake wachache sana wenye akili?

Hahahaha 85% ya wanawake wasomi wanaongoza kwa kupiga mizinga{kuchuna} ukilinganisha na ambao hawajapiga shule.
 
Unayempenda kama huyu,yeye wala hana habar nawe,unafurai kupata huduma yake,bt yeye kufike kilelen mpaka amuwaze bwana wake mwingne.

Na siku zote unaye mpenda yeye anakuwa hakupendi na usiye mpenda yeye ndo anakupenda kupindukia.
Mimi huko Tandale nilikuwa nakata kiu alikuwa reserve nikikosa mawindo najua wapi nitakatia kiu.
Si unajua huwezi kula harage kila siku lazima ubadili tembele, mchicha, kisamvu cha kopo n.k
 
But siku hizi naona kama Neno Luv limekosa maana, leo upo nae kesho kila mtu na lwake!!


love.jpg



Genuinely speaking inabidi tutafute siku na kutafuta maana ya LOVE katika jamii ya leo....
 
tatizo wanaume wa sasa hawajielewi wala hawajiamini wanapenda kuchunwa chunwa tu
wanapenda kuonekana wako juu so wanapata wanawake wenye mawenge hvo hvo ie hela bandia mkufu bandia
mtu na akili zako huwezi kukodisha ambulance na eti wanawake mtaani wakukubali na hao wanaoshobokea ambulance wote akili zenu mbovu
wanawake wenye akili wala hawaangalii mambo makubwa kuna vitu tu basic watu wanaangalia


Kid sis umeongea kitu cha msingi MNO!! Naomba kaka zetu woote wasome huu ujumbe na waseme wao wanasemaje....
 
Kwenye hili la kuchunwa inategemea kunalitazama vipi. Ukiniuliza mimi, nitamuhesabu mwanamke kama 'kamchuna' mwanaume endepo mwanaume huyo amemuhonga vitu/pesa ili 'alale' nae na somehow mwanamke akapiga chenga. Lakini kama mwanaume anatoa pesa na kupata anachotaka...sioni ni vipi utasema 'amechunwa'!...to me its just another arm's length transaction.

Halafu, kama tunakubaliana na hoja kwamba kiuhalisia siku hizi wanawake walio wengi ni materialists, then unachokisema hapa ni kuwa siku hzi kuna wanawake wachache sana wenye akili?

Alafu hii imekaaje mwanamke anakuwa yupo kupokea tuuuuuu na sio kutoa material?
 
  • Yawezekana una tabia hizi zoote na zimeambatana; For hizi tabia in one person is too much for most of us ladies…. Unamvuto (mtanashati na una uzuri wa kiume – sio wa kike), Uko care free huna majidai, Una mpunga wa kutosha, Uko single, Uko intelligent when talking (well exposed), Uko very care free and dynamic popote pale (ukiw 5 star hotel you are home… Ukiwa kijijini you are home… Ukiwa kazini you are home… Ukiwa among men you are home… Ukiwa among women you are home.. Ukiwa among elders you are home) Yaani haijalisha uko wapi; Daima you are a great person to be with kwa mtazamo wa walo kuzunguka toka Wale level ya juu kabisa hadi level ya Yule anae kusafishia viatu. Once in a while Mungu muhimu hivo kuna ibada hata kama ni hapa na pale.
Mwanaume mwenye the above tabiaz can get any type of woman he wants… Hivo kama kweli ana nia ya kumpata Mwanamke of his choice… Katika odds za 10 ana odds za 9.8 za kukubaliwa…. For the simple reason kua whatever the lady is exposed to; Yeye the guy yupo flexible thus giving the lady what she wants kwake ni rahisi na in addition to that ni kua ni the type of guy ambae a lady is comfortable kua around kitu ambacho ni cha mhimu (for most ladies tupo so very self conscious around their men)






Yaani hakpa nimeishiwa maneno
Ashadii nakubaliana na wewe kwa hili na sina ubishi wala sitabisha kwa maana hayo yote yanaendana na ................ ahhh nisimalize bana
 
Unajua uzi huu, huu umenigusa sana. Kuna jamaa nilikuwa nasoma naye Chuo Mzumbe miaka hiyo. Wakati wenzake tunahangaika kutafuta kampeni pale chuoni yeye alikuwa hajiangaishi hata siku moja, basi ukimuhadithia kwamba nimemtokea mdada fulani nimemuambia yaliyo moyoni na kanitosa, alikuwa akicheka sana huku akidai yeye hajawahi pata uchungu wa kutoswa kwani kila mdada anayemfuata humpata lakini siyo pale chuoni, yeye alikuwa akienda kijiji kimoja kiitwacho Changalawe kwa waliosoma Mzumbe watakumbuka(Chang'), huko alikuwa anajiopolea wanakijiji ambao walikuwa wanajisikia fahari sana kutembea na Mwanachuo na aliwalenga zaidi wajane na wamama waliachwa na waume zao.



Tempolale... Thank you for sharing... Hii story imenifurahisha saana. Naelewa the way kijana msomi huonekana katika macho ya watu wakijijini... yaani i can understand him kabisa! I bet nawewe ulifuata huo mfano... Hata hivo waweza msoma jamaa kama vile ni muoga wa challenge..
 
Hahahaha hii ilikuwa zamani siku hizi watu hawafanyi hivyo, jamaa anamegea geto anakuachia ramani ya dunia kwenye mashuka



Hivi kumbe haipo hii siku hizi?? Au tu you have grown up umeacha basi unafikiri imeisha kabisa! lol
 
Wazazi siku zote hawataki binti wao ateseke kesho arudi nyumbani kuomba kodi,chumvi n.k
Ndo maana wanaamua kumwekea muoaji kauzibe

ni kweli hakuna anayetaka mwanae ateseke.
Lakini kama mwanaume anakipato kidogo, ila ni hard worker, anaonekana tu.
Na kama ni goigoi wa kutafuta, pia utajua tu.
Wazazi wanamchango tu wa maamuzi. Kama ni maamuzi yote ya niolewe au nisiolewe nae, anayo mwanamke mwenyewe.
 
....unyuzi mzuri na mdahalo wake nitaufuatilia baadae...khaa...
mie niliyetongozewa na mashenga kwa barua ndani ya kitambaa cheupe
acha nikae pembeni kwanza nisome maujuzi...



hahahaha.... Mbu hebu acha hizo bana....lol... Yaani umenichekesha kweli.... Mshenga eeeh?? Nakusubiri kwa hamu ujio wako....
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Back
Top Bottom