“KUTONGOZA” - Kukubaliwa AMA Kukataliwa…. What gives??

wape somo sis asha dii mtu anakuja kukutongoza ana sura kama amelipuliwa na baruti bwana khaaaaaaaaaaaaa

Taratibu wewe Bebii una maana sisi wenye hizo sura hatuna haki ya kupata kile roho inapenda?
 
Shikamoo dada mkubwa,hii ya leo kali dada,hope ujumbe umewafikia,japo ndio hivyo siku hizi mambo yamebadilika na pesa imechukua nafsi yake no matter wat kind of personality watu hawajali iwe kuna upendo au hakuna upendo cha msingi pesa ipo na jamaa wanakuwa uhakika wa kumpata yoyote,cha msingi wadada tusiangalie pesa zaidi,upendo ndio unamata pesa zaweza kuisha na zinaweza kutafutwa pia ila upendo unadumu na kwa pamoja mtatafuta pesa!
 
Mi nadhani mambo yamekuwa vice versa sana miaka hii...Kwa upande wangu wasichana wengi mi ndio wanan'tongoza!!Halafu mie naletaga pozi balaa, yaani they are so cheap!!
Ngoja n'kusimulie!! Siku moja nilikuwa nasafiri kwa meli nikitoka mtwara kwenda dar, kulikuwa na kibint flani (mgeni alifikia kwa jirani yetu) naye alisafiri siku hiyokwa meli, tukawa pamoja!! Basi ile nit yule binti uvumilivu ukamshinda, akaniapproach!!
Kwenye mastory kwa kuwa nilikuwa simfahamu vizuri, nilimuuliza niambie tukio ambalo hutaweza kulisahau kwenye maisha yako, akaniambia alishawahi kubakwa Moshi huko, na akanipa full mkanda ulivyokuwa. Mi nikabushit.


IN GENERAL NI KWAMBA MABINTI WENGI SIKU HIZI HUTUMII NGUVU KUWA NAO.


Huh??? Sinziga huyu binti wa wapi huyu?? Huyu kazidi bana... Alafu wanaume hua mnanifurahisha hapo hapo... mkijua binti kishawahi bakwa ni kama vile kuzima mshumaa.....
 
Jamaa wanakula sio jobless tu hata watumishi na wafanyakazi
Yupo na mV8 anasimama kituoni anachagua mke mzuri mzuri anamwita anampa lift huku na huku anachukua mawasiliano akitoa tu amekwisha

mv8 wenyewe unakuta kaambiwa akafanye service.
Yeye service ni kuchukua wake za watu vituo va magari.
 
Ashadii nimekupata. Ila nilichogundua hii mada ya mahusiano iko complicated kama watu wenyewe walivyo.
 
mwaka juzi mdogo angu alikuwa anaolewa, maza akamwambia, "mchumba wako ana nyumba,gari,kazi, mradi wa biashara?.

Kuna jirani yangu alikosa mke kwa kukosa hata TV getoni kwake, wazazi wakasema huyu jirani yangu ni mhuni wakamtimua anaoaje hana hata asset ndani ya nyumba?
 
But siku hizi naona kama Neno Luv limekosa maana, leo upo nae kesho kila mtu na lwake!!


love.jpg
 
tatizo wanaume wa sasa hawajielewi wala hawajiamini wanapenda kuchunwa chunwa tu
wanapenda kuonekana wako juu so wanapata wanawake wenye mawenge hvo hvo ie hela bandia mkufu bandia
mtu na akili zako huwezi kukodisha ambulance na eti wanawake mtaani wakukubali na hao wanaoshobokea ambulance wote akili zenu mbovu
wanawake wenye akili wala hawaangalii mambo makubwa kuna vitu tu basic watu wanaangalia
 
Inshort anajidhihirisha kuwa yeye ni MR. Hit & Run

hahahaha....

Kwenye personality hapo tuko wote hilo halina haja hata ya kuliezea, but what i can tell you there's a trend which has already shifted from those ladies wa kimjini mjini...imevuka mpaka kwa watu ambao unaona kabisa huyu target yake ni kitu gani fulani anaponitongoza/anapotongozwa, what do i want tukubaliane tu ingawa when it comes to percentage hatuwezi kusema ni kiasi gani lakini kwa kiasi kikubwa sasa hivi the more money you have the more attraction you will get tena bila ya wewe kuhitaji kutongozwa badala yake wewe ndio utakuwa unatongozwa


Kweli kabisa PA hapa sina ubishi.... True to the core!
 
Huna kitu utampataje hata ya guest unategemea yeye akulipie


aaah! Jamani anaweza asiwe na kitu lakin ya guest akawa na pesa... alafu kuna wale ambao huomba getto za washikaji.....lol
 
mv8 wenyewe unakuta kaambiwa akafanye service.
Yeye service ni kuchukua wake za watu vituo va magari.

Hahaha hawa jamaa wa STK, DFP,ST, na zile za TAKUKURU zina namba za kawaida dah wabaya sana kwa wake za watu yaani ukisikia mke wako anasema alipata lift kwenye gari ya serikali hesabu msiba. Hawa jamaa hata wanavyo enda mikoani huko wanavunja sana ndoa za watu
 
Unajua uzi huu, huu umenigusa sana. Kuna jamaa nilikuwa nasoma naye Chuo Mzumbe miaka hiyo. Wakati wenzake tunahangaika kutafuta kampani pale chuoni yeye alikuwa hajiangaishi hata siku moja, basi ukimuhadithia kwamba nimemtokea mdada fulani nimemuambia yaliyo moyoni na kanitosa, alikuwa akicheka sana huku akidai yeye hajawahi pata uchungu wa kutoswa kwani kila mdada anayemfuata humpata lakini siyo pale chuoni, yeye alikuwa akienda kijiji kimoja kiitwacho Changalawe kwa waliosoma Mzumbe watakumbuka(Chang'), huko alikuwa anajiopolea wanakijiji ambao walikuwa wanajisikia fahari sana kutembea na Mwanachuo na aliwalenga zaidi wajane na wamama walioachwa na waume zao.
 
Mi nikisha pita mara moja namfungia vioo sipendi mizinga nikurudia basi alikuwa mtamu

Bado hujakamatika vizuri. Kuna mahali ukipita, unaweka kambi kabisa.
Wala sio sababu anakupenda, ni sababu ya utamu na UFUNDI wake, ambao unakuta ni adimu kuupata.
Na ukirudi vibaya, UNAFILISIWA.
 
paragraph nzima umeona hicho tu,wanawake bana,najua hakuna kitu mnachukia kama hicho kulambwa na kutupiliwa mbali,lakini hayo si mambo ya kawaida mjini? Na kinamama siku hizi si ndo zenu,mnatutumia weeeeee tunawanunulia magari,tunawajengea,wadogo zenu tunawapelekea ulaya and then.....only kuanza kutukatia simu au kibaya zaidi tunawafumania na visakapoko ,kumbe hela yangu unavihonga vidampa,lol! Mi huwa nachoka kabisa na mambo haya.


Ni wanawake wachache saana wana janja hio.... Watu ambao walikua wanafanya umalaya zamani walikua wanafanya mengi ya msingi kuliko sasa... Ni wanaume wachache ambao wanahonga saana kama zamani, anakupatia gari nyumba na maisha ya juu... gari blue book ipo jina lake, nyumba ipo jina la mwanae... what do you expect... kama ulivosema mambo ya kimjini mjini......lol... Hata hivo B' lazima iume bana wanaume mwatuchezea mno!
 
paragraph nzima umeona hicho tu,wanawake bana,najua hakuna kitu mnachukia kama hicho kulambwa na kutupiliwa mbali,lakini hayo si mambo ya kawaida mjini? Na kinamama siku hizi si ndo zenu,mnatutumia weeeeee tunawanunulia magari,tunawajengea,wadogo zenu tunawapelekea ulaya and then.....only kuanza kutukatia simu au kibaya zaidi tunawafumania na visakapoko ,kumbe hela yangu unavihonga vidampa,lol! Mi huwa nachoka kabisa na mambo haya.


:lol::lol: Asante kwa kunifurahisha Bishanga. Msumeno lazima ukate tu, ukienda mbele na kurudi nyuma!
 
aaah! Jamani anaweza asiwe na kitu lakin ya guest akawa na pesa... alafu kuna wale ambao huomba getto za washikaji.....lol

Hahahaha hii ilikuwa zamani siku hizi watu hawafanyi hivyo, jamaa anamegea geto anakuachia ramani ya dunia kwenye mashuka
 
....unyuzi mzuri na mdahalo wake nitaufuatilia baadae...khaa...
mie niliyetongozewa na mashenga kwa barua ndani ya kitambaa cheupe
acha nikae pembeni kwanza nisome maujuzi...
 
Mimi siwezi mlaumu.ila hapa tunazungumzia attracting tactics. Ndo mana nikataja icho kigezo.
Kimewatafuna wengi sana.

Hii topic kaka zangu naona mwanifanya niishiwe maneno.....lol

mwaka juzi mdogo angu alikuwa anaolewa, maza akamwambia, "mchumba wako ana nyumba,gari,kazi, mradi wa biashara? Jibu ni alikuwa na kiwanja cha kujenga, na kazi tu.
Wakati huo jamaa alikuwa kweli tukisema msimamo wa maisha, alikuwa hana, kwanza anatumia gari la mdogo angu kama lake, kapigika mbaya.
Mungu MKUBWA.Jamaa alipata kazi ingine nzuri last year,sasa kafungua biashara mbili ameenga nyumba nzuri tu. Akanunua gari nzuri prado model mpyA.
Msimamo alikuwa HANA. Lakini with time mbona ulikuja.
Mkisema mnaangalia vigezo, MTAPOTEA. maisha YANABADILIKA.


Now you are talking.... Ndo maana nasema sio woote ambao huangalia material things.. Bravo to your sis anaonesha kua wapo wanawake ambao hukubali kwa ajili ya mapenzi tu na sio kingine....
 
mv8 wenyewe unakuta kaambiwa akafanye service.
Yeye service ni kuchukua wake za watu vituo va magari.
Hii utaistukia pale utakapo kuta V8 limepaki kwenye Guest house ambayo vyumba vyake ni Single=Tshs5000 Double=Tshs7000 na jamaa anakamua kabint kazuuuri.
 
Bado hujakamatika vizuri. Kuna mahali ukipita, unaweka kambi kabisa.
Wala sio sababu anakupenda, ni sababu ya utamu na UFUNDI wake, ambao unakuta ni adimu kuupata.
Na ukirudi vibaya, UNAFILISIWA.

Hahahaha umenikumbusha Mwanahawa wa Tandale kwa Mtogole i see nilitua mabegi kwake toto la kitanga full maufundi
 
Back
Top Bottom