Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Fenicha=heshima kubwa kwa mwanamke zaid ya gari.
Mzazi wewe kila demu unampeleka kwako aangalie fenicha? ndo umtongoze?
Fenicha=heshima kubwa kwa mwanamke zaid ya gari.
tatizo girlfriend wake ana wivu mpaka basi,yaani hata kumpiga huwa aanampiga.
Actualy kilichoniponza ni kuwa naive,on reflection nilikuja kugundua kuwa kuna namna walikuwa wanatazamana,kuna namna walikuwa wanagusana,ningekuwa sharp ningegundua longtime.Siku hizi lesbian couple hata wawe mita mia nitawajua tu.
Back to your question ali win bana mi nikapigwa chini jumla,its life wala sina manung'uniko maana mkuki kwa nguruwe hata mimi wanawake kibao nimepiga kisha nikawamwaga.
Valid umenikumbusha jamaa mmoja anasema haata ukiwa na gari yenye plate namba za DFP au STK mwanamke hajali ili mradi ni gari...lol!!
Mzazi wewe kila demu unampeleka kwako aangalie fenicha? ndo umtongoze?
Asha kumbuka mkono mtupu haulambwi
Mi kigezo changu kikubwa ni wowowo tu siangalii sura wala rangi mimi fulushi tu.
Sasa nikibembeleza nikakataliwa huwa naingia gharama ya kukodi au kuazima usafiri najua wadada wanashoboka na usafiri ndani full Mufindi aaah salale hapo natangaza ushindi mapema naua tembo kiubua ni sawa na kumdondosha mlevi kwa kumpuliza.
wenye DFP na STK huwa wanachukua wake za watu, anamweka kama kampa lifti anamfungulia feni(sio a/c).
Kwisha kazi.
Lakini ni kwa wake ambao ni jobless,std 7 ndo wengi, form 4 wa div 0 pia wamo.
Wake wa za watu ambao wako classic wao ndo wenyeviti wa saccos mtaani hapa.
hahahaha.... Kwa hiyo kama huna kitu... huna mtu??
Nakumbuka Fidel....lol.... Nakumbuka kabisa nini chakuchanganya siwezi sahau.... Umenifurahisha leo umedhihirisha ni to what extent.... mpaka kukodi?? Mie ndo hua nasema kua kwa jiji kama Dar, haitakiwi binti azuzuke kua anaemtongoza ana Usafiri hata kama wa nguvu - maana majority ya vijana wa Dar kazi yao ni kuazima magari kuendea kwa wanawake.... Na hivi wadada twapenda kutembea huku tumekaa.....
Kwenye personality hapo tuko wote hilo halina haja hata ya kuliezea, but what i can tell you there's a trend which has already shifted from those ladies wa kimjini mjini...imevuka mpaka kwa watu ambao unaona kabisa huyu target yake ni kitu gani fulani anaponitongoza/anapotongozwa, what do i want tukubaliane tu ingawa when it comes to percentage hatuwezi kusema ni kiasi gani lakini kwa kiasi kikubwa sasa hivi the more money you have the more attraction you will get tena bila ya wewe kuhitaji kutongozwa badala yake wewe ndio utakuwa unatongozwaMie nakubaliana na unalo ongea... ila najua kua hivo vigezo lipo kwa a certain type of group or should i say ladies... Hao ladies wa kimjini mjini ambao wameweka maslahi mbele, na hata wewe mtongozaji hujua kabisa na kwa wazi kua usipokua na kitu huyo mtu humpati. Hio sasa ni desparation na naona sio nzuri kua utampata mtu sababu ya material things... I can however vouch for personality.... which can also say loads kugusu mtu at first glance...
hahahaha.... Kwa hiyo kama huna kitu... huna mtu??.
Hahahaha haya dada ashadii,wajitaidi kukikataa kivuli chako.
Gari=lifti=misele
Fenicha=heshima kubwa kwa mwanamke zaid ya gari
=kigezo cha nyodo kwa wanawake wenzake
=tambo kwa wenzake.
Kama huamini jus fanya uchunguz kwa marafik wanaokuzunguka then jion uje na jibu.
Huna kitu utampataje hata ya guest unategemea yeye akulipie
Khaa!! We B' mbona hio analogy ya wewe kuwapiga na kuwabwaga haiendani na yalokutokea... Umetumia vigezo gani?? lol
Inshort anajidhihirisha kuwa yeye ni MR. Hit & Run
Sikatai kivuli changu bana.... Mie hapo nimeona hujatumia haki... kweli nipo serious......
Mtazamo wako umenifurahisha kweli.... inafanya wanawake sometime tuonekana strange creatures... yaani fenicha ni ya boyfriend lakini nyodo awe nazo yeye... Nimekupata what you mean.. kwamba if a guy kaweza jidhatiti vizuri ina maana ataonekana kama vile afaa saana na nimtafutaji.... Lakini labda nikuulize; waweza mlaumu mwanamke kwa hili??
Jamani tuende mbele turudi nyuma.... Nyie guys mna vigezo hua mnatumia kuamua umfuate a lady or not... Kuna ubaya gani wa sisi kuweka pia vigezo.... Sasa uonekane ni mzembe huna mbele wala nyuma na binti ajicommit?? Kweli kabisa msilalame....
Kwanin usimpeke kwako kukwepa garama?
Au ndo tiamaji tiamaji