zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Kwa hiyo unataka hata Polisi wangeandikwa wana CCM badala ya Polisi sio?
Polisi waandikwe chochote haijalishi lakini anapouliwa "mpiganaji" wa chadema kwanini iwe mwandishi na si "mpiganaji" wa chadema? Mwandishi alikuwa pekee pale? mbona wengine hawajauliwa?