GlorytoGod
Senior Member
- Sep 8, 2012
- 158
- 50
- Thread starter
- #21
Mbeya yetu thnx2
Kama upo Mjini Dares-salaam nenda karibu na sokoni Kariakoo Mtaa wa nyamwezi na mkunguni kwenye maduka ya dawa kaulizie hizo dawa utapata. Ukikosa Msonobari nenda kaulizie kwa wakweree wanaouza Dawa za kienyeji watakupa huo msonobari. Uwatu kwa lugha ya kiingereza unaitwa kwa jina hili ( fenugreek-seeds) angalia picha hapo chiniNashukuru saaana mzizi mkavu ila naomba nikusumbue hizo dawa naweza kupata kwenye maduka gn msonobari na uwatu??
yaweza kuwa ni fangasi hizo au hujisafishi vizuri, hakikisha unanawa na maji ya uvuguvugu na antibacteria, ingiza kidole usafishe mara mbili kwa siku
sex mara kwa mara nasikia ....... ni brush tosha
Kama upo Mjini Dares-salaam nenda karibu na sokoni Kariakoo Mtaa wa nyamwezi na mkunguni kwenye maduka ya dawa kaulizie hizo dawa utapata. Ukikosa Msonobari nenda kaulizie kwa wakweree wanaouza Dawa za kienyeji watakupa huo msonobari. Uwatu kwa lugha ya kiingereza unaitwa kwa jina hili ( fenugreek-seeds) angalia picha hapo chini
Uwatu ( fenugreek-seeds)
Msonobari (Pine Tree).
Unaweza kuchemsha maji ya kipimo cha glasi 3ukaweka jikoni ichemke kama dakika 10 kisha una kunywa glasi moja asaubuhi mchana unachemshaunachemsha kwa kiasi gani cha maji na kwa muda gani dr?
Gono sugu hilo bibie
Unaweza kuchemsha maji ya kipimo cha glasi 3ukaweka jikoni ichemke kama dakika 10 kisha una kunywa glasi moja asaubuhi mchana unachemsha
tena kama ulivyofanya asubuhi na unakunywa na usiku hivyo hivyo unafanya kama ulivyo fanya asubuhi kwa muda wa
siku 7 . itapendeza uwe unaweka dawa kidogo kidogo mpaka ikamilike siku 7 Dawa ununuwe ya kutosha kwa muda wa siku
7 na dawa unayochemsha asubuhi unaweza kuitumia mpaka usiku inatosha kazi yako utakuwa unaongeza maji na siku
inayofuata unaweka dawa mpya fanya hivyo kwa muda wa siku 7 kwa kukisia.
Mfa maji ubarikiwe saaana kwa ushauri wako nitaufanyia kazi
Mimi nina tatizo la kutokwa na uchafu mweupe wenye muwasho ni mwaka wa 12 sasa toka tatizo hili linipate nimesha hudhuria hosptal, nimetumia dawa nying sana sindano ndo usiseme lakini huo uchafu bado unatoka japokuwa ulikuwa mzito sana lakini sasa umekuwa mwepesi kama maziwa fresh vile na siwashwi tena ila tatizo ni huo uchafu unaotoka kwa yeyote anayejua tima tafadhali anijuze kwasababu mapajani nina rangi nyeusi mpaka imejichora kabisa inajionyesha ilikoanzi mpaka inakoishia.
Nitashukuru kwa ushauri wenu mtakaonipa.
MIMI NI MWANAMKE, UCHAFU WENYEWE KUNA MUDA UNATOKA NA MUDA MWINGINE HAUTOKI, NA KAMA KUJISAFISHA HUWA NINAJISAIFISHA VIZURI SANA NA SABUNI YANGU NI DETTOL SASA WANDUGU CJUI TATIZO NI NINI HASWA.
toka mwaka 2012 mpaka leo 2014 bado unatokwaga tu??...
aseeh utakua umeoza huko kunako