Mimi nina mpenzi wangu, kila ninapofanya tendo la ndoa kuna uchafu unatoka kama maziwa yaliyo ganda ambayo yanatapaka kwenye uume wangu. sasa wadau huu ni ugonjwa gani?
Mwambie achutame kisha ajisafishe vyema na kuweka maji ya kutosha daily, huo ni uchafu ambao ni kawaida usipojisafisha utaonekana kwa mhusika. akiweza baada ya hapo ajifukize na udi.teheh au apake misky.
Mwambie achutame kisha ajisafishe vyema na kuweka maji ya kutosha daily, huo ni uchafu ambao ni kawaida usipojisafisha utaonekana kwa mhusika. akiweza baada ya hapo ajifukize na udi.teheh au apake misky.
Ni kawaida....wala si ugonjwa...kuna baadhi ya wanawake wengi huwatokea. Ningekushauri ni vyema ukaenda hosptal ili upate uhakika zaidi. Humu kwenye JF watu wengine hufanya mzaa
Cyo ugonjwa, bt hyo hutokea endapo mwanamke anakua hajafanya mapenzi kwa mda mrefu na huo km mgando ni matokeo ya ule ute ambao ulitakiwa kutoka kipindi anakojoa au pale anapohic hamu imezidi kwahyo kwakua huajatoka unaganda thn hali kama hyo ndo inatokea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.