Tatizo la kutokwa na damu kwenye fizi: Fahamu chanzo na namna ya kutatua tatizo hili

Mkuu nenda kwa daktari wa meno ukasafishe meno.

Unauogonjwa wa fizi ambao unatoka na kutosafisha meno vizuri.hata ukitumia dawa ya mswaki hipi haitosaidia kwa sasa mpaka uende kwa daktari wa meno wakasafishe meno alafu ndio uanze kufuata njia sahihi za kusafisha meno.

Hili haswaa ndiyo jibu sahihi, sema bongo wale madentist nao sometimes duh! sijui kwa vile bei rahisi jino linakwanguliwa utafikiri scrap chuma.
 
Hiyo ni simple disease unaweza kuimaliza bila kutumia dentist nk,tumia mouth wash kama med oral x 2 siku tatu na anza kusukutua meno asubuhi na usiku kabla hujalala kwa colgate matatizo kwisha, scuvv si rahisi maana upungufu wa vit c si wa kiivyo maana naamini unakula vyakula mchanganyiko na hiyo vit c si tatizo, pia pendelea food suplement mfano multvitamins+minerals
 
U have got the disease of the gum which is known as periodontitis, the earliest sign of this disease is easy bleeding of gum eg on brushing, eating hard fruit or even on sucking the gum,

this diasese is the most common cause of teeth loss in adult, if not treated will lead to mobility of teeth and eventually teeth loss, periodontitis is also one of the common cause of bad smell from the mouth(halitosis).

You need to see a dentist where he will do proffesional cleaning of teeth (scaling) plus antibiotic and mouthwash
 
Kuna dawa ya mswaki inaitwa FOREVER BRIGHT TOOTHGEL inasaidia kuzuia kutoka damu,harufu mbaya,kuimarisha fizi,matundu kwente meno na kuponya vidonda vya mdomoni itafute ukiikosa tuwasiliane inauzwa 12,737/=
 
Scurvy.... inawezekana una upungufu wa vitamin C .
Ni kweli huenda ana upungufu wa vitamin c mimi huwa inanitokea kutokwa na Damu kwenye mafizi ya mdomo haswa ninapopiga mswaki asubuhi ninatumia dawa inayoitwa (Supradyn) (Vitamin, Mineral and Blood Builders »Multivitamin, multimineral ) inanisaidia sana nikipiga mswaki sitoki tena na Damu kwenye mafizi. Jaribu kutumia hiyo Dawa una ukosefu wa vitamini mwilini na pia uwe unakula sana Machungwa na juice ya limau kurudisha Vitamin C kwa haraka.
 
Mkuu nenda kwa daktari wa meno ukasafishe meno.

Unauogonjwa wa fizi ambao unatoka na kutosafisha meno vizuri.hata ukitumia dawa ya mswaki hipi haitosaidia kwa sasa mpaka uende kwa daktari wa meno wakasafishe meno alafu ndio uanze kufuata njia sahihi za kusafisha meno.

hapo kwenye red ni dawa ya mswaki au dawa ya meno sijaelewa mkuu tuwekane sawa
 
kwa muda sasa nimekua nikitoka damu kwenye fizi za meno kila ninapokua napiga mswaki,leo asubuhi wkt nakunywa chai ile nang'ata mkate nikaona damu kwenye mkate nadhani tatizo limekua kubwa,naombeni ushauri wenu kama kuna mtu mwenye idea ya hili tatizo na namna ya kulitatua.

mi kabla ya kukujibu ningependa kujuwa ni aina gani ya chumvi unayotumia katika vyakula vyako. zipo 2 ile ya unga na ile ya mawe (unrefined salt). nijibu kisha nitarudi kukupa jibu.
 
kwa muda sasa nimekua nikitoka damu kwenye fizi za meno kila ninapokua napiga mswaki,leo asubuhi wkt nakunywa chai ile nang'ata mkate nikaona damu kwenye mkate nadhani tatizo limekua kubwa,naombeni ushauri wenu kama kuna mtu mwenye idea ya hili tatizo na namna ya kulitatua.
mi kabla ya kukujibu ningependa kujuwa ni aina gani ya chumvi unayotumia katika vyakula vyako. zipo 2 ile ya unga na ile ya mawe (unrefined salt). nijibu kisha nitarudi kukupa jibu. nijibu mkuu tujifunze
 
asanteni wote kwa ushauri wenu mzuri naahidi kuufanyia kazi maana nahitaji tiba baada ya kusumbuka mda mrefu.
thanx
merci
 
Naomba msaada wa wapi naweza pata hizi dawa mbili Chlorhexamed na Parodontomax kwasababu wikiend nilizunguka maduka makubwa yote ya dawa posta sijazipata
 
Habari wana Jf,

mimi ninatatizo la ktokwa na Damu kwenye fizi mdomoni hasa wakati ninapokua napiga mswaka.Hata wakati mwingine nikishika tama afu nikatema mate, yanakua na damu. Fizi huwa haliashi.

Kwa mwenye kufahamu dawa ya kumaliza au kupunguza hali hiyo naomba anifahamishe.

Aksante:

nerd:
 
kutokwa na damu kwenye fizi wakati wa kupiga mswaki au hata hupigi mswaki inaweza kuwa dalili ya ugonjwa/ugonjwa wa fizi(gingivitis).Hii inaweza sababishwa na kutosafisha meno vizuri na kusababisha utando(plague) kuota juu ya meno hasa chini ya meno ambayo huonekana kama na rangi ya njano.Hii baadaye huja kusababisha gingivitis.

Kusukutua meno kwa kutumia nguvu au pressure nyingi husababisha damu kutoka,kutumia mswaki mgumu sana,upungufu wa vitamin k ambayo ni muhimu kwa ugandishaji wa damu(blood coagulation).
cha kufanya epuka kusukutua meno kwa nguvu,tumia mswaki soft,epuka kutumia dawa ambazo ni antcoagulant mfano asprin,
nenda kaonane na dentist kama unaupungufu wa vit.k italazimika kutumia vidonge vya vit.k,pia jitahidi kula matunda ya kutosha kuimarisha fizi zako mfano machungwa,sukutua meno vizuri usiache utando kubakia kwenye meno yako.
 
kutokwa na damu kwenye fizi wakati wa kupiga mswaki au hata hupigi mswaki inaweza kuwa dalili ya ugonjwa/ugonjwa wa fizi(gingivitis).Hii inaweza sababishwa na kutosafisha meno vizuri na kusababisha utando(plague) kuota juu ya meno hasa chini ya meno ambayo huonekana kama na rangi ya njano.Hii baadaye huja kusababisha gingivitis.

Kusukutua meno kwa kutumia nguvu au pressure nyingi husababisha damu kutoka,kutumia mswaki mgumu sana,upungufu wa vitamin k ambayo ni muhimu kwa ugandishaji wa damu(blood coagulation).
cha kufanya epuka kusukutua meno kwa nguvu,tumia mswaki soft,epuka kutumia dawa ambazo ni antcoagulant mfano asprin,
nenda kaonane na dentist kama unaupungufu wa vit.k italazimika kutumia vidonge vya vit.k,pia jitahidi kula matunda ya kutosha kuimarisha fizi zako mfano machungwa,sukutua meno vizuri usiache utando kubakia kwenye meno yako.

Asnte kwa ushauri,ila tatizo si kutokupiga mswaki hadi uo utandouepo kwa kwa siku huwa naswaki zaidi ya mara mbili
 
Habari wana Jf,mimi ninatatizo la ktokwa na Damu kwenye fizi mdomoni hasa wakati ninapokua napiga mswaka.Hata wakati mwingine nikishika tama afu nikatema mate ,yanakua na damu.Fizi huwa haliashi.

Kwa mwenye kufahamu dawa ya kumaliza au kupunguza hali hiyo naomba anifahamishe.Aksante.:nerd:

tumia dawa ya meno iitwayo tianshi tooth paste au wasiliana nami kwa msaada zaidi.pole sana
 
Back
Top Bottom