Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,654
Kutokana na giza tororo linaloendelea hapa tz wengi wetu tumekimbilia solar na wind mil.mimi nikiwa mmoja wao tatizo linakuja hiv charger inakuwa haitoi moto unaotoka kwenye invetor nimemleta fundi lakini tatizo ni lile lile nifanyeje?