Kutoka ZIRPP: Abdallah Kassim Hanga na mapinduzi ya Zanzibar

Uwa nasikia kuwa kilicho fanya Nyerere amkamate Hanga ilichangiwa na Hanga mwenyewe kuweka urafiki na Kambona ambaye kwa mida huo Nyerere alimuona ni kama mhaini

Je hilo lina weza kuwa kweli ndugu Mohamed Said!!?
Szczesny,
Sina uhakika na hilo.
 
Leo tarehe 12 January ni Sikukuu ya Mapinduzi ya Zanzibar, nachukua nafasi hii kuwatakia nyote heri na fanaka za Mapinduzi na kukutakieni maadhimisho mema ya sherehe ya kumbukumbu ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar kwa watakao shereheka kwa wale wenye kumbukumbu njema, na kwa vile Mapinduzi Matukufu yale pia yaliandamana na umwagaji damu, natoa pole kwa wenye kumbukumbu chungu.
P
 
Back
Top Bottom