Ni aibu watu ni wachache sana HIVYO picha zinachakachuliwa
Mie nimechukizwa na hii net ya Voda,kila nikiatach pcha inakata.
Usipende kudanganya, TBC 1 itakuumbua taarifa ya habari ya saa 2 leo. Waambie ukweli CDM wameanza na mguu wa shoto haoa Mtwara
Mie nimechukizwa na hii net ya Voda,kila nikiatach pcha inakata.
wewe mbona leo unawashwa,hutulizani kabisa,umepokea posho ya nape kuja kuandika pumba hapa nin?
Chadema katika harakati za kupanua wigo nchini, wamepata PIGO baada ya mkutano wao leo uliosha muda si mrefu katika Manispaa ya Mtwara kuhudhuriwa na watoto. Wakati kwa Chadema yakitokea hayo, CCM imeziidi kujiimarisha kwa mkutano wake kuhudhuria na maelfu ya wakazi wa Misenyi kama picha zinavyojionyesha. Hii ni ishara tosha kuwa Chadema hawana chao mkoani Mtwara
Chadema katika harakati za kupanua wigo nchini, wamepata PIGO baada ya mkutano wao leo uliosha muda si mrefu katika Manispaa ya Mtwara kuhudhuriwa na watoto. Wakati kwa Chadema yakitokea hayo, CCM imeziidi kujiimarisha kwa mkutano wake kuhudhuria na maelfu ya wakazi wa Misenyi kama picha zinavyojionyesha. Hii ni ishara tosha kuwa Chadema hawana chao mkoani Mtwara