dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,496
- 3,461
makamanda baadaye nitajarbu ku'upload picha natumia simu, npo viwanja vya mashujaa kama kawaida nawakilisha
sio picha tu, toeni na updates ya kinacho zungumzwa. vipi mahudhulio?
makamanda baadaye nitajarbu ku'upload picha natumia simu, npo viwanja vya mashujaa kama kawaida nawakilisha
sio picha tu, toeni na updates ya kinacho zungumzwa. vipi mahudhulio?
Sasa dr slaa ndio anapanda jukwaani kuhutubia, kelele zinapigwa rais, rais, rais, rais.
Makamanda bado wanatia timu au??weka picha basi
jamani nimepga picha za kutosha wanausalamas ni wengi sana nita'upload baadae
11 kamili nitakuwa Uwanjani,nikipata nafasi namwaga Picha jamvini.Musikonde makamanda ,kuna wenyeji huku.
Sasa dr slaa ndio anapanda jukwaani kuhutubia, kelele zinapigwa rais, rais, rais, rais.
Mawaiba upo nyumbani halafu kitandani ukiwa beki tatu wako unatupa update za uongo pambaf
r.i.p. Kamanda regia mtema!!!!hapa ndipo ninapomkumbuka kamanda wa ukweli regia maana picha zingemwagika hapa na kuziba midomo ya hawa wazushi