Chamoto
JF-Expert Member
- Dec 7, 2007
- 8,319
- 17,474
sinamengi tushatoa T shirts wananchi wanajielewa na wamenunua kwa wingi kusambaza ujumbe
Hamwezi epuka hili tsunami la mabadiliko...
sinamengi tushatoa T shirts wananchi wanajielewa na wamenunua kwa wingi kusambaza ujumbe
hamwezi epuka hili tsunami la mabadiliko...
Mnawambia nini sasa watu wa kusini wakati mnataka kujitenga kuanzisha Taifa lenu la Kaskazini...
huu ni upepo tu! Utapita .. Waulizeni nccr enzi za mrema
Kweli hapa ni MT hilo jengo dongo la blue na kijani karibu na tent lipo katikati ya uwanja wa mashujaa. Pia, pembeni ya tent huo mti unaitwa msufi upo pale bila shaka 100% ni uwanja wa mashujaa
Hamwezi epuka hili tsunami la mabadiliko...
Kaka yangu hizo propaganda JK mtu wa watu
Jana ndipo nilijua kumbe wakati mwingine Nape ana akili, japo zinaingia na kutoka au huwa anajitia Uzuzu. Ni pale alipotamka Ukweli kwamba CCM inakufa. Na kusema kwamba hata kama atabaki pekee yake yeye hana shida, CCM ataiendeleza tu. Ameshaona mbele kwamba kuna dalili ya kukimbiwa na Wanachama wote akabaki na Rejao, Mafilili, Ritz, Faiza Fox, japo siku hizi kabadili I'd, Malaria Sugu, Genius brain, Tume ya Katiba.
Makamanda ndio wanatia timu kiwanjani..! Kimsingi naweza kusema ni mapokezi ya kihistoria. Mtaendelea kupokea Updates..
Picture Updates:
huu ni upepo tu! Utapita .. Waulizeni nccr enzi za mrema
hata jk alitamka hayo lkn akajalivunja baraza la mawaziri bila kupenda...hata Al Sahaf alitamka hayo akajikuta anaingia shimoni bila kupenda...upepo huu hautapita bure..
MAFILILI,
Hii picha ni ya Arumeru Mkuu wangu na nakumbuka hapo mlikuwa mnatoka kwenye Mkutano wenu wa Kikatiti mnaelekea USA River. You can foll some peoples but you can't foll all peoples.
TUMBIRI (PhD, Hull University - UK),
tumbiri@jamiiforums.com