Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni kijana wa miaka 23 tatizo langu nimetokewa na visundo sundo kwenye shina la uume wangu kama vinavyoonekana kwenye picha plz msaada juu ya hili nipate japo tiba mwenzenuView attachment 198399
ulifanya nn mpaka vikatokea?
sijawahi kula demu tigo mafuta nayo tumia ni nivea condom ni dume vipele vina mwaka sasa kila nikienda hospital hakuna msaada nao pata zaidi ya kupewa dawa zisizo nisaidia mpaka nishakata tamaa mi niko mkoa wa mara wilaya serengeti na sijawi kula demu tigoNawewe yako ni size hii au? Ok hujasema vina muda gani, vinawasha au la, hujasema upo mji gani( kuna madhara ya uvaaji wa aina fulani za nguo za ndani kwa miji yenye joto kali). Aina ya mafuta unayotumia kujipaka je unapaka mpaka kwa jamaa? Je ni aina gani ya condom unayotumia ( kuna watu wana mzio na aina fulani za mipira). Je unafanya nyeto na unatumia kilainishi gani?. Je ushawahi gonga demu tigo bila ndomu au kilainishi?
Ops so many quest.
Hii inanihusu pia. Nina vipele kama hvyo maeneo hayohayo haviwashi wala haviumi na nikivikata inatoka damu tu. Ni miezi kama sita tangu nivipate. Sijui ni tatizo gani piaNawewe yako ni size hii au? Ok hujasema vina muda gani, vinawasha au la, hujasema upo mji gani( kuna madhara ya uvaaji wa aina fulani za nguo za ndani kwa miji yenye joto kali). Aina ya mafuta unayotumia kujipaka je unapaka mpaka kwa jamaa? Je ni aina gani ya condom unayotumia ( kuna watu wana mzio na aina fulani za mipira). Je unafanya nyeto na unatumia kilainishi gani?. Je ushawahi gonga demu tigo bila ndomu au kilainishi?
Ops so many quest.
Hii inanihusu pia. Nina vipele kama hvyo maeneo hayohayo haviwashi wala haviumi na nikivikata inatoka damu tu. Ni miezi kama sita tangu nivipate. Sijui ni tatizo gani piaMimi ni kijana wa miaka 23 tatizo langu nimetokewa na visundo sundo kwenye shina la uume wangu kama vinavyoonekana kwenye picha plz msaada juu ya hili nipate japo tiba mwenzenuView attachment 198399
sijawahi kula demu tigo mafuta nayo tumia ni nivea condom ni dume vipele vina mwaka sasa kila nikienda hospital hakuna msaada nao pata zaidi ya kupewa dawa zisizo nisaidia mpaka nishakata tamaa mi niko mkoa wa mara wilaya serengeti na sijawi kula demu tigo
Ilianza na kasehemu kadogo kuwasha then kuanza vipele vidogo, now vimekua kama kidonda ingawa ni kasehem kadogo ka uume, haviumi sana. Kuna dokta jiran nilimuonyesha nikamwambia last j'mosi nilikunywa mitakelfin n 4rm j3 ndo vipele vikaanza. Akaniambia nitakua nina alegy na dawa zenye sulphur akanipa vidonge vimeandkwa cosmos. Bt bado hali iko vile vile. Naomba Ushauri jf doctor