mchajikobe
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 2,652
- 1,238
Mbona picha za hao waliokamatwa hatuzioni
Zaidi ya kukuhurumia hakuna kingine.Soma kwa za hii post ya MshanaJe bado unahitaji maelezo mengine?
Hiyo Mimi naona Ni scene ya kutengeneza, sidhani kama hao majambazi kama watakuwepo,wahusika watakuwa wamesha tokomea kitambo sana.
Wanakosaga cha kujibu zaidi watakutisha tu na mwisho wa siku wanakuambia ngoja ufe utaona hahahaha hua nacheka sana nikifikaga hapo wanashida sana hawaMkuu umefikiria mbali sana, aliyeleta wazo la dini amefanikiwa kwa kiwango kikubwa kuwa fool wengi,
mimi naongezea pia walioandika Biblia na Qur'an walitumia akili kubwa sana kwavile yaliyoandikwa mle ni story kama story zingine, lakini watu wapo tayari kuzifia story zile pindi unapo wa-challenge.
kucheka na kupumua ndo saizi yako..mambo ya usalama waachie wenyewe...ulitaka uone pcha za za maiti ya kamanda wa polisi ili ikusaidie nn...wewe kula kyepe lala ..wanaume wanakufa coz they r protecting ur sleeping ass...STUPIDYaan mkuu nilicheka mpaka basi,,unajua ukitaka kucheza sinema lazima kwanza u plan sinema yako itakuaje sawa sawa,, sasa jamaa zangu hua wakiamka wanakurupuka tuu..binafsi mm kidogo nilikua namkubali kova kwa visinema vyake mwenye akili unajua ila ilikua sio rahisi kama hawa jamaa...asikari aliepigwa risasi jana mbona hata picha tuu hakuna,,wale wa mwanzo picha zilikua kila mahali,, hiivi kwel inaingia akilini kama wanavyosema kwamba askari kanal mstaaf...ambae alikua sniper afanye tukio la namna ile alafu aende akajivundike na wenzake wengi kwenye nyumba moja?? Nyumba yenyewe ilikua imezungukwa na wao kabla kurushiana risasi hazijaanza, na tushukuru mungu kwamba eneo lilikua la makaz ya watu waliona kila jambo la sivyo wangesema tushamuua, huyo jamaa katorokea wap?? Basi wangewaacha waandiahi wa habari wakaingia watuonyeshe labda kuna underground tunnel kama zile za drug dealer kule mexico ndani ya hio nyumba
mihemko itakuja kukucost sikumoja...Sinema zote zinakuwa na mpangilio, beggining-middle-end.
MWANZO: majambazi yanashambulia polisi
KATIolisi kibao ndani ya defender 16 wazingira nyumba yenye uzio mrefu na kurushiana risasi na majambazi mfulululizo masaa zaidi ya Saba - Oh my God mrehemu marehemu.
MWISHO: Suspense .............
Walijificha nyuma ya TV, TV zenye chogo ni bullet proofswali langu ni hivi polisi wameizingira nyumba alafu wameishambulia kwa masaa 8 hiyo nyumba halafu wametoka watu hai tena wakina mama hapo bado sijaelewa kabisaa kwa jinsi nnavyojua bunduki ikishambulia nyumba kila pembe hakuna wakupona aliyeko ndani ya nyumba
Huu ni mzuka tu uliowafanya polisi "kufanya uharibifu wa nyumba" wakati ndani kuna watoto na wanawake, haa! halafu askari kauwawa kwa risasi kwenye MAPAMBANO, hakuna silaha iliyopatikana kwenye hiyo nyumba, nani kamuua huyo marehemu?!