Ombudsman
JF-Expert Member
- Apr 18, 2012
- 3,565
- 3,729
Tusubiri tamko rasmi toka kwa kamanda siri
Tokea jana wanakimbia waandishi wa habari. Ukiwapigua simu wanasema wako kwenye kikao.
Tusubiri tamko rasmi toka kwa kamanda siri
Yaani kwenye hali tete kiasi kile umkamate mtu na kubaini kuwa ni kanali? bila kitambulisho, maelezo ya kutosha wala ushahidi wa kuaminika? labda ni dogo aliyekuwa anatumia nickname ya ukanali.Walijuaje kama ni NGAMIA bila kuangalia NUNDU lake mgongoni?
Kabisa.Lol! labda ni dogo anayetumia nickname ya ukanali, huwezi jua
Picha ya marehemu uliyona? JIONGEZESasa ni nani aliyemuua huyo askari wetu
mbona cjakia. In kamamda flani voice ' katika mapambano makali polisi wetu epolisi hawatak kusema ukweli,kuna kitu wanaficha,aidha kwa ajil ya uchunguz au wanawaua wote,hawatak kelele za kina kijo bisimba
Vikao si vimekatazwa wanawane?Tokea jana wanakimbia waandishi wa habari. Ukiwapigua simu wanasema wako kwenye kikao.
Vikao si vimekatazwa wanawane?
Hawa watu wa usalama ukiwahakikishia uhakika wa kula hawana shida...ni watu wa amani sana, ila tatizo ni pale ambapo anastaafu na maisha duni bila serekali kumjali...kwa nini asiwe mwizi?Mambo yangekuwa murwa(safi) kama mwanajeshi yeyote anayefukuzwa kazi(na ikiwezekama wanao staafu wenye uraia tata) wawekewe microchip for monitoring their movements kwa usalama wa taifa letu. Note wengine wameenda kujiunga na kampuni binafsi za ulinzi(security companies) ambapo wanaweza kuwa transferred to foreign countries for the same job or more than that!!!! ushauri kwa serikali tu mimi kama raia wa kawaida (ila kiona mbali).
Kuna handaki linatike mombasa, ndio kapitia huko
Imetokea usiku huu Mkuranga. Askari wazingira nyumba ambayo walikuwa wanafanya uchunguzi baada ya mauaji ya polisi Mbande.
Radio WAPO.
========
UPDATES;
> Mapigano makali yanaendelea kati ya polisi na watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi eneo la Vikindu, wilaya ya Mkuranga, mkoa wa Pwani.
> Timu ya Mwananchi iliyo eneo la tukio imeshuhudia magari ya polisi (difenda) zaidi ya 16 yakifika eneo la tukio huku polisi wakiwa wameshika silaha zao kwa umakini mkubwa.
> Kadhalika, magari yanayokwenda maeneo ya Vianzi Mkuranga, Malela, Pemba Mnazi, Mfuru njia zimefungwa kutokana na mapambano hayo.
=> Inadaiwa wamekamatwa majambazi 14 na wengi wao ni askari wastaafu. Kiongozi wa wahalifu wao anadaiwa kuwa Kanali wa Jeshi mstaafu.
=> Polisi yaweka kizuizi cha barabara eneo la Kongowe, Mkuranga, magari yote yanayotoka na kuingia Dar yanapekuliwa.
=> Mkuu wa Kitengo cha Kupambana na Kuzuia Majambazi kutoka Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Thomas Njiku amepoteza maisha baada ya kupigwa risasi ya kichwa katika maeneo ya Vikindu Mkoani Pwani na watu wanaosadikika kuwa ni magaidi.
View attachment 388235 View attachment 388237 View attachment 388238 View attachment 388239
Nyumba waliokuwa Wanaishi hao Majambazi
=> Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Vikindu Mashariki, Mohammed Ismaili ambaye alikuwa bega kwa bega na askari hao alisema kwenye nyumba hiyo waliokamatwa ni watu 7, Wanawake, Watoto na Mwaume mmoja.
Hakuna Jambazi yeyote aliyeuawa katika tukio hilo zaidi ya afisa huyo wa polisi.
=> Waandishi wa Habari walipata wakati mgumu kwani Walikatazwa kusogelea eneo la tukio wala kupiga picha.
Mkuu Nina miaka said I ya 30 mifano unayotoa no mfuu. Huko mwambechai askari waliingia msikitini kughasi waumini ulitegemea nini?huko kote cchanzo cha police kuuizwa ilikuwa police wenyewe .
Teh..teh..tehSitawaangusha!
Kuna handaki linatike mombasa, ndio kapitia huko
Mkuu siku nyingine likitokea tukio la kupotezea muda uje...nilichelewa kupata notification .... hatimaye nimekukosa
yes magaidi wanakusanya silaha. lazima kuzuia na kuwabomoa kabla. l hope ndio walinzi wetu wanafanya. sote tuwaunge mkono.Nilishasema kwenye mojawapo ya comments zangu juzi kuwa hayo mahuaji ya askari yanahusiana na lile tukio la yule jamaa aliyepigwa mawe akauliwa na akakutwa na mabomu ya kurusha maeneo ya Temeke au somewhere.
Shida ya polisi na viongozi wetu wanapenda kudandia treni kwa mbele bila kujiridhisha mapema.
Hawa jamaa wanajitahidi kukusanya silaha za kivita kwa kuiba kutoka vituo vya polisi, pesa wanazo ila hawawezi agiza silaha nje ndio maana wamejikita kwenye kuvamia vituo.
Serikali iamke au kuna siku watajutia na intelijensia zao uchwara. Yaani hii ni kitu rahisi unaunganisha tu dots kuazia yale matukio ya nyuma na zote jamaa wanafanana jinsi wanavyofanya uhalifu.
Savimbi yuko Angola ililetwa na lameckHili movie limeletwa ili kutuvurugia habari za UKUTA.....
Sijui director wake ni savimbi, make hata haieleweki