JF Dr. Naomba mnisaidie hili,
Mume wangu alianza kusikia maumivu kwenye kichwa cha uume anapokojoa baada ya siku kama nne maumivu yaliendelea kupanda juu, baada ya siku kama tatu maumivu yalikoma ukaanza kutoka ute mzito mweupe kama usaha wakati mwingine mpaka chupi aliyoivaa inachafuka, alipoenda hosipitali akarudi akaniambia wamemwambia ana UTI, akapewa antibiotics akaniambia amepona, tumekaa kama wiki, leo asubuhi nimeamka nikamwangalia yeye akiwa bado amelala nikaona ule ute mweupe umetoka tena, sasa nina wasiwasi kwamba anaweza kuwa na tatizo zaidi ya UTI aliyoniambia, Kuanzia alipoanza kusikia maumivu hatujafanya tendo la ndoa mpaka leo kwa sababu ya mimi kuwa na wasi wasi, sasa tatizo linaweza kuwa nini?
Mume wangu alianza kusikia maumivu kwenye kichwa cha uume anapokojoa baada ya siku kama nne maumivu yaliendelea kupanda juu, baada ya siku kama tatu maumivu yalikoma ukaanza kutoka ute mzito mweupe kama usaha wakati mwingine mpaka chupi aliyoivaa inachafuka, alipoenda hosipitali akarudi akaniambia wamemwambia ana UTI, akapewa antibiotics akaniambia amepona, tumekaa kama wiki, leo asubuhi nimeamka nikamwangalia yeye akiwa bado amelala nikaona ule ute mweupe umetoka tena, sasa nina wasiwasi kwamba anaweza kuwa na tatizo zaidi ya UTI aliyoniambia, Kuanzia alipoanza kusikia maumivu hatujafanya tendo la ndoa mpaka leo kwa sababu ya mimi kuwa na wasi wasi, sasa tatizo linaweza kuwa nini?