Wakazi wengi na has vijana, wamejaa sana halmashauri ya jiji la Mwanza kusubiri matokeo na matoke hayo kulingana na STAR TV kwa nafasi ya udiwani viti vingi vimechukuliwa na chadema kwa majimbo yote mawili yaani ilemela na Nyamagana.
Ikumbukwe kwamba mmiliki wa STAR TV ndiye alikuwa anagombea kupitia CCM hivyo kuna uhakika wa habari hizi
SOURCE STAR TV
Ikumbukwe kwamba mmiliki wa STAR TV ndiye alikuwa anagombea kupitia CCM hivyo kuna uhakika wa habari hizi
SOURCE STAR TV