Mbona mnakandia tu hamtoi msaada, kama hamjui si mnyamaze kama kusikia amesikia na hatarudia tena.
Hii ndugu yangu ni dalili ya gonorrhea na matibabu yake ni kama ifuatavyo:
1. Metronidazole tabs 2g stat with food.
2. Doxycycline tabs 100mg bd 7/7.
3. Ciprofloxacin tabs 500mg bd 5/7.
Mpelekee hii masage mtu wa pharmacy atakupa dawa kama hata mind.
Kama baada ya siku 5 bado shida haijaisha ni PM.
Ila kumbuka kupima ngoma afu urudie baada ya miezi mitatu.
Wakati wote kumbuka kuvaa condom. Kumbuka na huyo demu wako anatakiwa kutibiwa pia. Na mara nyingi wanawake huchelewa kuonyesha dalili.
Mbona mnakandia tu hamtoi msaada, kama hamjui si mnyamaze kama kusikia amesikia na hatarudia tena.
Hii ndugu yangu ni dalili ya gonorrhea na matibabu yake ni kama ifuatavyo:
1. Metronidazole tabs 2g stat with food.
2. Doxycycline tabs 100mg bd 7/7.
3. Ciprofloxacin tabs 500mg bd 5/7.
Mpelekee hii masage mtu wa pharmacy atakupa dawa kama hata mind.
Kama baada ya siku 5 bado shida haijaisha ni PM.
Ila kumbuka kupima ngoma afu urudie baada ya miezi mitatu.
Wakati wote kumbuka kuvaa condom. Kumbuka na huyo demu wako anatakiwa kutibiwa pia. Na mara nyingi wanawake huchelewa kuonyesha dalili.
jaman naomba msaada wenu,natokwa na usaha kwenye uume wangu,na hii imenitokea toka juz,ilianza siku mbil baaa ya kufanya mapenz na msichana m1 hiviiii...
*** Keshakuambukiza gonjwa la zinaa kudadek !
Kapime mkojo then utibiwe na kuzingatia masharti ikiwa pamoja kumaliza dose na kumshauri huyo msichana 1 hiv nae akatibiwe. Na siku nyingine uki date na msichana mmoja hiv usisahau kubeba ile artificial disposable skin.
Dr umeandika kitaalamu sana wkt dogo ni end user ndio maana kaenda peku,ebu jaribu kumfafanulia unamaanisha nini unaposema 7/7 au 5/7 maana mie nimezoea 1x2,1x3,2x3 etc
Ndugu, hizo ulizoandika hapo ni prescription drugs for what? Its illegal kununua dawa bila kuonwa na dr.
jaman naomba msaada wenu,natokwa na usaha kwenye uume wangu,na hii imenitokea toka juz,ilianza siku mbil baaa ya kufanya mapenz na msichana m1 hiv,nataka kujua ni ugonjwa gan huu,pia nijue nitaponaje,doctors a nid yo helps...
jaman naomba msaada wenu,natokwa na usaha kwenye uume wangu,na hii imenitokea toka juz,ilianza siku mbil baaa ya kufanya mapenz na msichana m1 hiv,nataka kujua ni ugonjwa gan huu,pia nijue nitaponaje,doctors a nid yo helps...
Well said King'asti lakini ni kwa TANZANIA TUNAYOIOTA. Sio hii iliochakachuliwa. Nenda famasi leo utauziwa antibiotics hadi kwa bei ya jumla usiulizwe hata kitambulisho chako achia mbali health facility utokayo.
Who cares ?!
Anko wangu ni cashier by proffesional ana duka lake la dawa anawadunga
watu hadi Aminophylline i.v. Nambie umechokaje hapo?!
hilo gono bro cha muhimu kata uume kabla halijafika mbali! au nenda pharmacy wakupige sindano ya ceftriaxone 125mg na vidonge vya doxycycline 100mg kila baada ya saa 12 kwa siku 7 probability ya kupona ni 98.7%. ciprofloxacin zimeonyesha resistance sana. remember it is illegal kupata huduma kama hii pharmacy.
UMEJUAJE, are u the subject?jamani alitumia msimlaumu sanaaa...sema alitumia kuingizia uume kunako uke ili apige bao...katika hatua za awali za fore plays alitumia vidole kuchezea clitoris alivotaka kutia akajisahau hakuosha mikono na vidole vyake kwa kutumia detol soo akawa amejishika uume na kujiambukiza kwa bahati mbaya... THINGS DO HAPPEN SUMTYMES
pole ndugu kwa kupata gono kwenye dhama za uwazi na condom hadi kwenye maduka ya mchele na sabuni