Kutoka na usaha kwenye uume

Kimbiaaa-Makahaba wa miaka 13 mtaani ni vicheche na machatu usipite pekupeku bila kuvaa viatu,kimbiaaaaaaa fasta kuogopa ukunguru nenda fasta hospital ugonjwa wa gonorea huo!
 
Mbona mnakandia tu hamtoi msaada, kama hamjui si mnyamaze kama kusikia amesikia na hatarudia tena.
Hii ndugu yangu ni dalili ya gonorrhea na matibabu yake ni kama ifuatavyo:
1. Metronidazole tabs 2g stat with food.
2. Doxycycline tabs 100mg bd 7/7.
3. Ciprofloxacin tabs 500mg bd 5/7.
Mpelekee hii masage mtu wa pharmacy atakupa dawa kama hata mind.
Kama baada ya siku 5 bado shida haijaisha ni PM.
Ila kumbuka kupima ngoma afu urudie baada ya miezi mitatu.
Wakati wote kumbuka kuvaa condom. Kumbuka na huyo demu wako anatakiwa kutibiwa pia. Na mara nyingi wanawake huchelewa kuonyesha dalili.

Dr umeandika kitaalamu sana wkt dogo ni end user ndio maana kaenda peku,ebu jaribu kumfafanulia unamaanisha nini unaposema 7/7 au 5/7 maana mie nimezoea 1x2,1x3,2x3 etc
 
Wewe husikii huu wimbo wa Codom mwanangu? Kama ni Gono, Kaswende itatibika, lakini kama na Ukimwi umeupata je. Salamu zao bwana ukitangulia mbele ya haki....Sasa tufanyeje. Hamtaki kusikia. Haya.
 
Gono hilo kaka,ila usihofu gono siku hizi si tatizo,jaribu kupima na ngoma kama huna basi tumia dawa zilizoandikwa humu na nunua na dozi nyingine kwa mwenzi wako,wakati wote kumbuka condom,ukishindwa tafuta nesi akuchome powercef 1gm stat
 
Ndugu, hizo ulizoandika hapo ni prescription drugs for what? Its illegal kununua dawa bila kuonwa na dr.
Mhanga nenda hosp bwana!
Mbona mnakandia tu hamtoi msaada, kama hamjui si mnyamaze kama kusikia amesikia na hatarudia tena.
Hii ndugu yangu ni dalili ya gonorrhea na matibabu yake ni kama ifuatavyo:
1. Metronidazole tabs 2g stat with food.
2. Doxycycline tabs 100mg bd 7/7.
3. Ciprofloxacin tabs 500mg bd 5/7.
Mpelekee hii masage mtu wa pharmacy atakupa dawa kama hata mind.
Kama baada ya siku 5 bado shida haijaisha ni PM.
Ila kumbuka kupima ngoma afu urudie baada ya miezi mitatu.
Wakati wote kumbuka kuvaa condom. Kumbuka na huyo demu wako anatakiwa kutibiwa pia. Na mara nyingi wanawake huchelewa kuonyesha dalili.
 
jaman naomba msaada wenu,natokwa na usaha kwenye uume wangu,na hii imenitokea toka juz,ilianza siku mbil baaa ya kufanya mapenz na msichana m1 hiviiii...
*** Keshakuambukiza gonjwa la zinaa kudadek !
Kapime mkojo then utibiwe na kuzingatia masharti ikiwa pamoja kumaliza dose na kumshauri huyo msichana 1 hiv nae akatibiwe. Na siku nyingine uki date na msichana mmoja hiv usisahau kubeba ile artificial disposable skin.
 
Kwa niaba ya Mupirocin,naomba nijibu swali la nyongeza:

x/7=siku x
x/52=wiki x
x/12= miezi x
x/24=saa x
stat= mara moja tu(mkupuo m1).

Dr umeandika kitaalamu sana wkt dogo ni end user ndio maana kaenda peku,ebu jaribu kumfafanulia unamaanisha nini unaposema 7/7 au 5/7 maana mie nimezoea 1x2,1x3,2x3 etc
 
Ndugu, hizo ulizoandika hapo ni prescription drugs for what? Its illegal kununua dawa bila kuonwa na dr.

Well said King'asti lakini ni kwa TANZANIA TUNAYOIOTA. Sio hii iliochakachuliwa. Nenda famasi leo utauziwa antibiotics hadi kwa bei ya jumla usiulizwe hata kitambulisho chako achia mbali health facility utokayo.
Who cares ?!
Anko wangu ni cashier by proffesional ana duka lake la dawa anawadunga
watu hadi Aminophylline i.v. Nambie umechokaje hapo?!
 
jaman naomba msaada wenu,natokwa na usaha kwenye uume wangu,na hii imenitokea toka juz,ilianza siku mbil baaa ya kufanya mapenz na msichana m1 hiv,nataka kujua ni ugonjwa gan huu,pia nijue nitaponaje,doctors a nid yo helps...

kaka kimbia hospital kwa matibabu yatakuwa magonjwa ya zinaa hayo.....faster wahi hospital
 
jaman naomba msaada wenu,natokwa na usaha kwenye uume wangu,na hii imenitokea toka juz,ilianza siku mbil baaa ya kufanya mapenz na msichana m1 hiv,nataka kujua ni ugonjwa gan huu,pia nijue nitaponaje,doctors a nid yo helps...

Maumivu yakizidi muone Daktari!!
 
Mie namjua bwana afya ana diploma na ana pharmacy kadhaa na wanamuita dr! Mweh!
Nikiwa mdogo nilikuwa naumwa tonsillitis, na for some reason xpen zilihusika kwa sana tu. Nakumbuka nikiwa std 6 or less nilienda pharmacy kununua ampicillin na walinikatalia! Nikaomba septririne wakachomoa! Nikamind kweli manake niliishia hosp na sindano juu! Siku hizi unanunua dawa za malaria kitaa unajinywea tu! Kweli tanzania ya njozi hii!
Well said King'asti lakini ni kwa TANZANIA TUNAYOIOTA. Sio hii iliochakachuliwa. Nenda famasi leo utauziwa antibiotics hadi kwa bei ya jumla usiulizwe hata kitambulisho chako achia mbali health facility utokayo.
Who cares ?!
Anko wangu ni cashier by proffesional ana duka lake la dawa anawadunga
watu hadi Aminophylline i.v. Nambie umechokaje hapo?!
 
hilo gono bro cha muhimu kata uume kabla halijafika mbali! au nenda pharmacy wakupige sindano ya ceftriaxone 125mg na vidonge vya doxycycline 100mg kila baada ya saa 12 kwa siku 7 probability ya kupona ni 98.7%. ciprofloxacin zimeonyesha resistance sana. remember it is illegal kupata huduma kama hii pharmacy.
 
Boss hii dose ya ceftriaxone ni ya neonate au ndo dose ya gonnorrhea, achome 1g tu
hilo gono bro cha muhimu kata uume kabla halijafika mbali! au nenda pharmacy wakupige sindano ya ceftriaxone 125mg na vidonge vya doxycycline 100mg kila baada ya saa 12 kwa siku 7 probability ya kupona ni 98.7%. ciprofloxacin zimeonyesha resistance sana. remember it is illegal kupata huduma kama hii pharmacy.
 
Kutokwa usaa kwenye njia ya uume(urethral discharge syndrome) au UDS Ndio jina la kitaalam,na jina la mtaani ni kunyonyesha sasa sijui unanyonyesha kwa muda gani sasa?kuna magonjwa ya fuatayo ambayo huambana na kutokwa usaa sehemu za Siri kwanza kuna kisonono( gonorrhea ) au GC,kuna Trichomas vaginalis(TV),kuna Candida albicans(fungal infection) na mwisho tunahali tunaiita NGUU( non gonoccal urethritis ) vile vile zaidi ya asilimia 30 ya maabukizo ya kisonono huambatana na maabukizo ya vijimelea vya aina ya Clamydia Trachomatis,kwahiyo umeona hapo kuna aina ya maabukizo mengi kwa hiyo matibabu ni dawa za aina mbalimbali (dawa moja haiwezi kutibu magonjwa yote) ushauri nenda kwenye hospitali Daktari ataagiza vipimo Kwenda kwenye maabara ,wakigundua ni ugonjwa gani atakuandikia dawa utapona,TOFAUTISHA Kati ya STD na UTI,:scared:
 
jamani alitumia msimlaumu sanaaa...sema alitumia kuingizia uume kunako uke ili apige bao...katika hatua za awali za fore plays alitumia vidole kuchezea clitoris alivotaka kutia akajisahau hakuosha mikono na vidole vyake kwa kutumia detol soo akawa amejishika uume na kujiambukiza kwa bahati mbaya... THINGS DO HAPPEN SUMTYMES
UMEJUAJE, are u the subject?
 
pole ndugu kwa kupata gono kwenye dhama za uwazi na condom hadi kwenye maduka ya mchele na sabuni

tetetetetetete zama za kondomu sio. . . Matangazo kwny tv kila leo wa2 wagum mhh mbongo mbongo 2 haya kimbia spitali na usirudie tena :)
 
Iliwahi kunikuta na nikatibiwa na dk mwanadada, aliiona naniliu, after a while tukakutana kwa mkutano, guess wharrr....alinipa ushauri zaidi (private)....
 
Back
Top Bottom