Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Wakuu kwa wiki mbili zilizopita nimekuwa sipo jf kwani nilikuwa safarini Mtwara kwa shughuli maalum na bahati mbaya sikupata hata nafasi ya kuingia internet cafe. Kila nilipojaribu kutafuta zilipo sikupata na muda wa shughuli yangu haukuniruhusu kupata wasaa huo.
Nilijisikia kweli kumiss corner hii ya jf niliyoizoea.
Niliwamiss members wengi wa jf kama akina NN na yoyo, mkandala, omutwale, lunyungu. invisible, junius, ngekewa, na siwezi kumaliza orodha yote hapa............
Ninayo mengi ya kusema kuhusu Mtwara na picha kiasi za kuvutia za Mtwara.
Mji ulio pembezoni mwa bahari ulio na beaches nyingi sana tena nzuri hata kupita hizi chafu zilizojaa harufu za Dar lakini zikiwa na wananchi maskini kweli kweli.
Kwa kuwa sijapata muda mzuri nitakuja siku ingine kuelezea zaidi na kuweka picha.
Sasa hivi niko safarini so stay tuned.
MF
Nilijisikia kweli kumiss corner hii ya jf niliyoizoea.
Niliwamiss members wengi wa jf kama akina NN na yoyo, mkandala, omutwale, lunyungu. invisible, junius, ngekewa, na siwezi kumaliza orodha yote hapa............
Ninayo mengi ya kusema kuhusu Mtwara na picha kiasi za kuvutia za Mtwara.
Mji ulio pembezoni mwa bahari ulio na beaches nyingi sana tena nzuri hata kupita hizi chafu zilizojaa harufu za Dar lakini zikiwa na wananchi maskini kweli kweli.
Kwa kuwa sijapata muda mzuri nitakuja siku ingine kuelezea zaidi na kuweka picha.
Sasa hivi niko safarini so stay tuned.
MF