Taratibu za kiusalama zinawekwa sawa kwaajili ya ujio wa mheshimiwa Rais!
Makandarasi naona wamejitokeza na wengine wanaendelea kuja! Tutawaletea yanayojiri hapa!
Msaada kwenye tuta...Huo ni Mkutano wa Wakandarasi (Contractors) au Mkutano wa Wahandisi (Engineers)?
hapo kwenye red, ondoa hiyo weka mkw.ere na wenzakeMh rais anaingia sasa eneo la tukio wajumbe wamambiwa kuwa watasimama na baada ya rais kukaa kuna wimbo maalum!!
Bendi ya THT inaendelea kutoa burudani na wimbo wa enzi hizo wa "Masudi amekuwa jambazi"
Mh rais anaingia sasa eneo la tukio wajumbe wamambiwa kuwa watasimama na baada ya rais kukaa kuna wimbo maalum!!
Bendi ya THT inaendelea kutoa burudani na wimbo wa enzi hizo wa "Masudi amekuwa jambazi"
Sasa nakuja maana nilikuwa staki Kusimama eti namweshimu wakati haitoki moyoni.Rais ameingia shamrashara na vigeregere
Mnajadili nini??Sio kweli tumelipia 100,000/ tu!
Msaada kwenye tuta...Huo ni Mkutano wa Wakandarasi (Contractors) au Mkutano wa Wahandisi (Engineers)?