dlnobby
JF-Expert Member
- Jul 30, 2014
- 2,514
- 3,345
Kabisaaa unasema anapokea maelekezo tokea nyuma...akili yako ndo imefikia hapo ivii hata wew jaribu kufanya hilo jambo afu kwanza uliangalia hoyo debate au ndo nyie mnaoshikwa masikio na vijana wasio kuwa na uelewa....huyu mama kuna uwezekano alikua kavaa earphones akawa anapokea maelekezo.