Kutoka Karimjee Hall: Mjadala juu ya Tamko la Uongozi wa Waislamu Jan 15, 2010

Nyie ni watu w ajabu na kuhurumia sana juzi juzi humu JF mmeanza kutamba kuwa nafasi zote za juu zimeshikiliwa na waislam tena mkatuambia zile nyeti sasa leo yamekuwa hayo tena. Kuna mmoja wnu akazitaja
Rais(Tz&Zan)
Makamu(Tz&Zan)
Jaji Mkuu
Wizara ya Fedha
Mambo ya Ndani
Wizara ya Nje
Wizara ya Ulinzi na JKT
et al....

Sasa leo uonevu unatoka wapi mnajiona wanyonge nyie wenyewe poleni hatuna msaada zaidi mlie na viongozi wenu.

Member nae ni Muislamu siku hizi ee? wizara ya nje!!

Katiba mpya ni lazima iainishe mgawo wa madaraka kielimu, usawa wa dini, na geografia!
Suala la ukabila(Uchaga),(uhaya),(unyakyusa) undugunization katika kupeana madaraka tangu enzi za uhuru mpaka leo na kuwajaza wanajeshi na polisi wa kutoka mkoa wa Mara pia halina nafasi ktk katiba mpya!!!

Waislamu wanataka warudishiwe shule zao zilizotaifishwa na utawala wa Nyerere kwani Wakristo walisharudishiwa shule zao na zaidi wameingia mkataba na Serikali(Memorundum of Understanding 1992) wa kupewa sadaka ya mamilioni ya pesa kila mwaka kwa kodi za Watanzania! mkataba huu ni haramu!! ni lazima usimamishwe! hapa ni kodi zetu ndio wanapewa hawa jamaa ambao ukienda shule zao huwezi kusoma kwa utulivu bila ya kunusanusa harufu ya kitimoto na kukaa dawati moja na jinsia tofauti ambapo hii ni kinyume na utamaduni na desturi ya dini zingine!!!

Hakuna kulala safari hii mpaka kieleweke!!
 
nusu bin nusu is the only solution to remove the problem of udini in this country. No one can blame that we are so and so. Each religion can get their share according to their ratio. Ahsanteni sana
 
Kweli wewe akili zako hazina AKILI..... Nimesema sababu rasta na yeye ana dini je atapewa percent ngapi kwenye hii nusu kwa nusu...Sababu na yeye ana DINI kwanini Tumtenge? Je vipi kuhusu Hindu, Budha, na wapagani? Mimi naona hakuna coordination kati ya akili zako na mikono yako inayotype huu upupu

now you will prove failure, aliyekwambia hana dini nani, dini zao ni ukristu au uislam wako humo humo, usitake kupoteza mada, mimi nina akili timamu na ukitaka kujua hili subiri utekelezaji wa haya ninayosema nyang'au wee
 
Huu sasa ndo udini mbele na kuacha nyuma maslah ya nchi, cion kosa la maaskof , ni freedom of speech, tumsifu yesu kristo , bwana asifiwe mi naona niwe upande wa maaskofu tu maana hawa jamaa c wazur, na chama changu chadema. Usiulize kwa nn?
 
Hakuna kisichojulikana katika mfumo wa utawala hapa nchini.

Maaskofu na mawakala wao wa kanisa wamekuwa wakiitawala nchi hii kwa miongo mingi sasa. Wenyewe ndo wamekuwa wakiamua sera gani nchi ifuate na ikitokea umeenda nao kinyume lazima wakushikishe adadu kama wanavyomuadhibu sasa JK.

Sikuwahi kuwasikia wakilaani mauaji ya mwembechai na hata katika mauaji ya Pemba. Sikuwahi kuwasikia wakiikemea serikali pindi inapowadhalilisha masheikh kwa kuwaita wahuni wachache. Nini kitafanyika bila baraka za maaskofu? Mahakama ya kadhi imepigwa danadana kwa kuwa kanisa limesema NO. Waislamu wamekuwa watulivu sana kama kondoo hapa nchini.

Nani asiyejua mkataba wa kifisadi ulioingiwa kati ya serikali na makanisa(MoU)? Nani asiyeelewa matumizi ya kifisadi ya fedha za walipa kodi wa dini zote yanavyoendesha ubalozi wa Tanzania Vatican? Nani asiyejua mamilioni ya fedha yanayotengwa kila mwaka kifisadi kwa ajili ya kupamba ofisi na kununuliana zawadi ktk kipindi ch Krismas?

Naliunga mkono tamko la waislamu
 
Member nae ni Muislamu siku hizi ee? wizara ya nje!!

Katiba mpya ni lazima iainishe mgawo wa madaraka kielimu, usawa wa dini, na geografia!
Suala la ukabila(Uchaga),(uhaya),(unyakyusa) undugunization katika kupeana madaraka tangu enzi za uhuru mpaka leo na kuwajaza wanajeshi na polisi wa kutoka mkoa wa Mara pia halina nafasi ktk katiba mpya!!!

Waislamu wanataka warudishiwe shule zao zilizotaifishwa na utawala wa Nyerere kwani Wakristo walisharudishiwa shule zao na zaidi wameingia mkataba na Serikali(Memorundum of Understanding 1992) wa kupewa sadaka ya mamilioni ya pesa kila mwaka kwa kodi za Watanzania! mkataba huu ni haramu!! ni lazima usimamishwe! hapa ni kodi zetu ndio wanapewa hawa jamaa ambao ukienda shule zao huwezi kusoma kwa utulivu bila ya kunusanusa harufu ya kitimoto na kukaa dawati moja na jinsia tofauti ambapo hii ni kinyume na utamaduni na desturi ya dini zingine!!!

Hakuna kulala safari hii mpaka kieleweke!!

umewashika pabaya usiache kamba mwanawani, hawa lazima waelewe kinachokuja, TYVA ndiyo chanzo cha haya yote data ninazo na nitazitoa, huko ndiko alikopikwa mnyika na propaganda za udini na mambo kibao, leo anajificha nyuma ya jani la mgomba.. ukweli uko wazi!
 
wa kupewa sadaka ya mamilioni ya pesa kila mwaka kwa kodi za Watanzania! mkataba huu ni haramu!! ni lazima usimamishwe! hapa ni kodi zetu ndio wanapewa hawa jamaa ambao ukienda shule zao huwezi kusoma kwa utulivu bila ya kunusanusa harufu ya kitimoto na kukaa dawati moja na jinsia tofauti ambapo hii ni kinyume na utamaduni na desturi ya dini zingine!!!

Hakuna kulala safari hii mpaka kieleweke!!
Kweli JF tumeingiliwa na MAZUZU.... kwahiyo watu waache kula kitimoto au kukaa na dada zetu sababu dini yako inakataza?

Kweli sasa naona umuhimu wa ule msemo wa kumpigia mbuzi gitaa, kweli ndugu hauna Hoja kama unataka kukaa sehemu ambapo kuna ubaguzi wa watu kulingana kama wamekula kiti moto au hapana nakushauri uhame nchi... , tena sio kuhama nchi tu nenda sayari nyingine, sababu watu kama nyie mmepitwa na wakati..... You belong on the AGE before STONE AGE
 
Nadhani sio suala la nusu kwa nusu, maana hakuna dini mbili tu hapa Tanzania. Labda tutafute dini zote zilizopo Tz na kugawanya uwakilishi. Baadaye wakristo nao wataanza kulalama wakatoliki wengi kuliko waprotestanti. Waislamu nao watasema Sunni wengi zaidi.

Nani kakwambia ukisikia mtu anaitwa John basi ni mkristo au Mohamed ni mwislamu? Dini ni siri ya mtu. Watu wana majina mazuri yanayowakilisha mitume wa dini zetu lakini utasikia hajaingia kanisani au msikitini zaidi ya miaka kadhaa, sasa huyo utamwita muumini?

hebu tufikirie zaidi ya dini? Umaskini tulionao hautokani na mimi kutokuwa mkristo au mwislamu. Tuna nafasi sawa za kukopa benki, tuna nafasi sawa za kwenda shule, mitihani inasahihishwa bila kujali huyu mhindi au mkristo, hata za kupiga na kuhesabu kura.

Lakini kuna wakati tuwe wakweli jamani. Kwa wenzetu ambao mlikuwa mnasomea degree ya pili au phd kulikuwa na mgawanyo gani wa dini? Ukigeuka kulia, kushoto, mbele na nyuma kulikuwa na mtu wa dini gani? Usijali kuhusu kabila maana lazima mchaga alikuwepo. Nahisi labda ingesaidia kama dini zote zingepigwa marufuku.

kwani zanzibar kuna vyama viwili??????? utajaza na hili
 
Kama tulidanganywa na tukakua katika misingi ya kubaguana tukashindwa kusoma shule zilizo milikiwa na dini nyingine kama alivyo fanya Makamba, basi tubadilike tuache kusema wao na sisi nusu kwa nusu kwani nusu hiyo haitapatikana na dhambi ya ubaguzi itaendelea kututafuna na hatopatikana mtu wa kurekebisha hali hii.

Tupeleke watoto wetu shule ili watukomboe kwa sababu sisi na wazazi wetu tulishindwa kujikomboa........Hivi najiuliza ni kweli mtu haja enda shule hata akili yakawaida inakosekana? basi kunafaida gani mtu huyu kuwepo duniani? nchi hii toka imepata uhuru haijawahi kuongozwa nahaitakuja kuongozwa kwamisingi ya dini. Inakuwaje leo bila haya watu tunatafuta ustaarabu zaidi wakila mtu kuamini anacho amini ila simkosee mwingine wengine wanathubutu kusimama vifua mbele na kutetea udini? hii niajabu kabisa......

Kama mmefikia hapo basi tutajaribu kutafuta namna ya kuwawezesha kama tunavyo fanya kwa wanawake, maana watu hawa wanameonekana wako nyuma sana kwa kila jambo linalo husu utawala hivyo hupewa fulsa kupitia viti maalumu........Nadhani mkidai viti maalumu tutawaelewa zaidi kuliko hiyo habari ya nusu kwa nusu.......
 
Hakuna kisichojulikana katika mfumo wa utawala hapa nchini.

Maaskofu na mawakala wao wa kanisa wamekuwa wakiitawala nchi hii kwa miongo mingi sasa. Wenyewe ndo wamekuwa wakiamua sera gani nchi ifuate na ikitokea umeenda nao kinyume lazima wakushikishe adadu kama wanavyomuadhibu sasa JK.

Sikuwahi kuwasikia wakilaani mauaji ya mwembechai na hata katika mauaji ya Pemba. Sikuwahi kuwasikia wakiikemea serikali pindi inapowadhalilisha masheikh kwa kuwaita wahuni wachache. Nini kitafanyika bila baraka za maaskofu? Mahakama ya kadhi imepigwa danadana kwa kuwa kanisa limesema NO. Waislamu wamekuwa watulivu sana kama kondoo hapa nchini.

Nani asiyejua mkataba wa kifisadi ulioingiwa kati ya serikali na makanisa(MoU)? Nani asiyeelewa matumizi ya kifisadi ya fedha za walipa kodi wa dini zote yanavyoendesha ubalozi wa Tanzania Vatican? Nani asiyejua mamilioni ya fedha yanayotengwa kila mwaka kifisadi kwa ajili ya kupamba ofisi na kununuliana zawadi ktk kipindi ch Krismas?

Naliunga mkono tamko la waislamu

Ndio maana nikasema pakilipuka maaskofu wasikimbilie ubalozi wa vatican maana wamesahau waliyokuwa wakiyafanya mbele ya waislamu wakiwaangalia sasa leo wao ndio wanajifanya wanaikosoa serikali I beg to differ.

Ujumbe uwafikie huko waliko hatutaki uchanganyaji wa dini na siasa wakae mbali kama masheikh walivyo kaa mbali otherwise tutakuwa another Ivory Coast.
 
Leo nimesikia kutoka kwenye kongamano la waislamu pale viwanja vya carimjee wakilalamika wanataka usawa na wamechoka kunyanyaswa.

Wanataka katiba mpya inayosema uongozi wa nchi ni nusu kwa nusu.

Mimi nikajiuliza hilo limetoka wapi? Je Zanzibar itakuaje? Nako iwe nusu kwa nusu?

Mi nadhani uongozi wa nchi si wa kupeana bali ni uzoefu na kua na dhamira ya dhati ya kuikomboa chi na kuwaondolea wananchi wake umaskini, haijalishi we ni dini gani

Mi sijaelew........wanataka nusu kwa nusu kati ya nani na nani......???
 
Kama waislamu wangelijua wao sio adui wa ukristu sijiu wangelifanya nini. Mimi naamini adui wa ukristu ni groups kama freemasons, illuminati, mafia etc. Haya magroup ni hatari kwasababu yanaweza kupenyeza watu ndani ya system za kikristu na taratibu kuanza kuingiza mafundisho yao yenye lengo la kupotosha.

Ndio maana wakristu mara nyingi wanawasikiliza hawa wapuyukaji na kuwaacha kama hawawasikii maana hawajui wanalolifanya.

ila ukristo ni adui wa waislam dini ya haki mbele ya allah!!!!!!!!!!!!!!!
 
Haaahaaa! Hizi mbio hizi mwisho wake si salama hata kidogo. Kuna busara na jazba zinaambatana kama mtu na mwanae.

Sawa kabsa. hawa wametumwa na serikali na wameandikiwa hiyo taarifa, na wao wamesoma tu.
Nyerere alisema ukiona mtu anajificha kwenye banda la udini, uje amefilisika kisiasa!!!! Need I say more?
 
Kuingiza dini katika katiba yetu tutajimaliza. Mtu achaguliwe kulingana na shule yake siyo dini wala gender. Kitacho wahakikishia nafasi ktk uongozi ni shule siyo dini yao
 
now you will prove failure, aliyekwambia hana dini nani, dini zao ni ukristu au uislam wako humo humo, usitake kupoteza mada, mimi nina akili timamu na ukitaka kujua hili subiri utekelezaji wa haya ninayosema nyang'au wee

Ongeza elimu yako hapo chini sure as hell you need it
The Rastafarian religion originated in Africa. It is often associated with the poorer black population of Jamaica. It is not just a religion, but a way of life. Rastafarians speak out against; poverty, oppression and inequality.....not just religious ideas but global problems. Rastafarians will use the Bible for guidence.
The prime basic belief of the Rastafarians is that Haile Selassie is the living God for the black race. Selassie, whose previous name was Ras Tafari, was the black Emperor of Ethiopia. Rastafarians say scriptures prophesised him as the one with "the hair of whose head was like wool (the matted hair of I black man), whose feet were like unto burning brass (I black skin)".
 
Mambo 2 muhimu:
1. Haki
2. Njia sahihi ya kuitafuta / kuifikia haki
Kwa mfano: Kuandamanisha watu kwa makusudi wauliwe ili muonekane mashujaa sio njia sahihi ya kufikia haki
Kadhalika, viongozi wa dini kutamka kiongozi sio halali pia sio sahihi kwani katika controversy kama ya Arusha anyside can be right

Viongozi wa waislamu wanajulikana kwa propoganda na sio wawakilishi wazxuri wa waislam. Najua kwa dini yoyote inatakiwa kusimamia haki pale inapokuwa haijatendeka. Sasa wenyewe wanasema dini zikae kimya zitakuwa zinatupeleka wapi? Acheni kubeba waovu maisha yatatushinda si mkristo wala muislam. Angalia bei za vitu zinavyopaa tatizo ni nini? Nawaunga mkono maaskofu kwa kukemea maovu yanayotendeka nyie endeleeni kujikomba tu tutaona mtafika wapi.
 
Wao wenyewe wamekiri ya kuwa wapo wachache na ndiyo maana Bunge asilimia 75 na zaidi limefurika wakristu sasa nusu kwa nusu isiyojali demographics ina misingi ya utu kweli?

Kubwa nililoligundua wamezinduka kuwa kumbe wao ni wachache.........baada ya JK kuambulia 27% na Lipumba 9% na hivyo jumla ni 36%................................Huku vumbi alilowatimlia Dr. Slaa ni 64%..............................kwa hiyo wanaelewa fika Muislamu mwingine kuje kuwa Raisi sasa ni ndoto na ndiyo maana wanazungumzia upupu kama huu wa fifty-fity kama akina mama ambao hoja yao ina mashiko kuliko ya hawa ndugu zetu.................................
 
Back
Top Bottom