Nduka
JF-Expert Member
- Dec 3, 2008
- 8,552
- 2,360
Slaa ITV live
wacha urongo laivu wapi wakati wanachakachua picha za zamani wakati watu wanaenda kushangaa ilikopta
Slaa ITV live
Nikilimlinganisha na mtu anayeishi na Kimada gesti (sorry), nikilinganisha na mtu anaye aliyesimamishwa na chama cha kikabila, nikiangalia shinikizo la kugombea limetoka kutuka kwa kundi fulani la dhehebu la dini, KURA yangu kwa KIKWETE kwa sababu;
1.anatoka chama kinachodumisha umoja, mshikamano, amani na utulivu wa taifa hili;
2.ametekeleza mengi ya yale aliyoahidi 2005(kejeli utakavyo lakini kweli imesimama)
3. anauzoefu wa uongozi kuliko wagombea wote.
4.ana busara, wala hadanganyi ili tu apewe kura( slaa ni muongo)
5.chini ya uongozi wake demokrasia imekuwa na amesimamia kwa dhati vita dhidi ya rushwa( bado kuna haja kuongeza kasi though)
unahitaji kujifikiria zaidi.
Wewe Burn wewe... Hivi unadhani Tanzania itatawaliwa na CCM milele...???
Kilaza kakosea akamwita Mwinyi badala ya mgombea mwenza
Hawezi kushinda.
That's why you have a single post.
kwa lipi? nikosa kuwa na mawazo yangu binafsi? siufuati upepo, upepoutanifuata mimi.
Karibu Mbeya kumekucha huku. Naondoka usiku huu huu kuwahi kupiga kura kule Moshivipi ITV mbeya? MANGI
Karibu Mbeya kumekucha huku. Naondoka usiku huu huu kuwahi kupiga kura kule Moshi
unahitaji kujifikiria zaidi.