Elections 2010 Kutoka kampeni za mwisho za CCM Jangwani

Nikilimlinganisha na mtu anayeishi na Kimada gesti (sorry), nikilinganisha na mtu anaye aliyesimamishwa na chama cha kikabila, nikiangalia shinikizo la kugombea limetoka kutuka kwa kundi fulani la dhehebu la dini, KURA yangu kwa KIKWETE kwa sababu;
1.anatoka chama kinachodumisha umoja, mshikamano, amani na utulivu wa taifa hili;
2.ametekeleza mengi ya yale aliyoahidi 2005(kejeli utakavyo lakini kweli imesimama)
3. anauzoefu wa uongozi kuliko wagombea wote.
4.ana busara, wala hadanganyi ili tu apewe kura( slaa ni muongo)
5.chini ya uongozi wake demokrasia imekuwa na amesimamia kwa dhati vita dhidi ya rushwa( bado kuna haja kuongeza kasi though)

unahitaji kujifikiria zaidi.
 
Kuonyesha kuwa CCM mambo magumu kwa mara ya kwanza Benjamin Mkapa na Joseph Warioba wameonekana jagwani leo katika kufunga kampeni za CCM.

Ja ajabu wote waliop jangwani wana sare za CCM (hakuna ambaye hana sare pale). Kama wana hakika why all this money !!!!!!!
 
Relax bro jafar, kapige kura kesho mapemaa, wala usichelewe ili usijekosa mda, tumalize hii kesi.SLAAAA JUUU!!
 
Hawezi kushinda.

That's why you have a single post.

Hii dhana ya kuwa na post chache basi unakuwa huthaminiki humu ni potofu sana. Nina rafiki zangu wengi amabo ni wapenzi wa JamiiForum kwa muda mrefu sana lakini hawajwahi kuchangia hata mara moja. Nina uhakika pia wanaweza wakawa wanaitemebelea hii web kuliko hata wewe. Mwenyewe ninachangia nipoona nina muda wa kutosha na siwezi kuacha kufanya kazi zangu zinazonifanya nijikimu nikakimbilia kujibu au kuchangia kila mjadal humu. Ingekuwa hivyo mtu anaweza akachangia hata mara 50 kwa siku. Kuna watu ambao uanahabari ni fani yao na inawapatia ulaji na Jamii forum ni source kubwa ya habari kwao. So sidhani kama wewe ni bora sana kupita yule mwenye single post lakini kila anapopata muda angalau anasoma nini kinaendelea kwenye web hii.
 
Mgombea mwenza msomi amehitimisha kwa kujiamini kuwa sasa yupo tayari kuchukua kazi kumsaidia rais, natamani kauli kama hii ingekuwa inatoka kwa std seveni nione konfidensi yake.
 
Makamba amemaliza kuhutubia, ameonyesha hofu kubwa maana ametaja katika hotuba yake CHADEMAmara tano, ccm mara tano na hakutaja chama kingine zaidi ya aliposema vyama vya upinzani kwaq ujumla wake. Ameonyessha kuwa na hofu kubwa na chadema. Kikwete ana wasi wasi sana anakula big G na kunywa dawa au glucose kwa wingi iliyoko mezani kwake. hali ni tense hata yeye anaonyesha kuwa na wasi wasi ndiyo maana amecheza muziki kupunguza pressure.

Mwaka huu CCM hawatoki, I swear!
 
Mpeleke ng'ombe mtoni (jangwani) lakini kesho maji hanywi hata ukimlazimisha. Usishangaee warioba anampigia Slaa.
 
Back
Top Bottom