Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
kisa ni ratiba ya garimoshi kutokueleweka. ilikuwa ikijulikana kabla kuwa garimoshi lla 'ordinary' lingepita jana jumapili, jioni saa 1, lakini wamekesha hapo na hakuna garimoshi. wanaambiwa eti kuna ajali imetokea behewa limeanguka huko mbele. watu wanataka chao, i mean nauli. ni vurugu.
wapi mwakyembe, dr.
mwenye simu yake ampigie amuambie.
nitawapa update.
source ni mimi mwenyewe nipo tabata.
update
=====
abiria wanachukua nauli; wengine wanakomaa. sa sijajua kati ya wanaochukua nauli na wanaokomaa nani chadema. stella matomato atatujuza.
ila hii hali siyo nzuri katika nchi yetu.
wapi mwakyembe, dr.
mwenye simu yake ampigie amuambie.
nitawapa update.
source ni mimi mwenyewe nipo tabata.
update
=====
abiria wanachukua nauli; wengine wanakomaa. sa sijajua kati ya wanaochukua nauli na wanaokomaa nani chadema. stella matomato atatujuza.
ila hii hali siyo nzuri katika nchi yetu.