"Wanafunzi wa UDOM hawana akili" - Mkinga (akimaanisha wale waliomchangia mgombea wa chama "chao" 1m). Bravo Mkinga.
Mkuu pamoja na kwamba siungi mkono malipo hayo lakini pia sioni DOWANS wamevunja sheria gani. Kama wangevunja sheria basi mahakama isingebariki hayo malipo. Tatizo si la DOWANS tatizo ni la viongozi wetu walioingia mkataba mbovu ambao kisheria una nguvu.
hamna haja ya kulifanya hili jambo ni la cdm, maana wapo ccm, ccj nk nk wanaolipinga hili suala, hivyo ni vizuri likawa la waTz wote wanaopinga huu wizi?Ndugu wana JF nimepata hamasa baada ya kumsikiliza mama NANILEA NKYA ambaye yuko live ITV ameshauri tuandae maandamano makubwa kupinga kulipa deni haramu la DOWANS.
Napendekeza tuandae maandamano haya siku ya kumbukumbu ya kifo cha mwalimu Nyerere, 14/10 ili kumuenzi mwalimu.
CDM tunaomba mtupe muongozo.
Nawasilisha.
Ndugu yangu Dr. Slaa, nimefuatilia mjadala wa malipo tata kwa Dowans ITV, you are a potential presidential candidate and our inspired president candidate, why so quite regarding this issue! ?
It is so dissappointing to note that neither you nor any top official from your party has recently took trouble on discussion regarding this very partinent issue, you real should be on top of these burning issue as will enhance our confidence in you and your part at large.
Dr Slaa wewe ndiye rais wangu mpaka sasa kwakua ni mmoja wa wasiotambua ushindi wa kikwete katika uchaguzi uliopita
Je, umesikia kauli ya mama Nkya upo tayari kuhamasisha watu tufanye maandamano ya amani please nasubili kauli yako tumechoka
tusaidie kutafuta vibali kisha alikeni watu tupo tayari.
Kwani lazima Chadema hivi vyama vingine viko wapi kutetea masilahi ya taifa.Ndugu wana JF nimepata hamasa baada ya kumsikiliza mama NANILEA NKYA ambaye yuko live ITV ameshauri tuandae maandamano makubwa kupinga kulipa deni haramu la DOWANS.
Napendekeza tuandae maandamano haya siku ya kumbukumbu ya kifo cha mwalimu Nyerere, 14/10 ili kumuenzi mwalimu.
CDM tunaomba mtupe muongozo.
Nawasilisha.