Tausi Mzalendo
JF-Expert Member
- May 23, 2010
- 1,471
- 722
Mkinga..Mzalendo???
Msnchekeshe!
Msnchekeshe!
jamani wana jamvi
nawaomba wanaharakati,wasomi,wanafunzi wa chuo na wananchi wa vyuo wakiwemo wana harakati watusaidie kuanda vibali au talatibu za kuanda maandamano ya amani kupinga tamko la mahakama la kulipa dowans.natamani baada ya kupata vibali mtutaalifu ni lini watu tukutane tuingie barabarani maana hakuna jinsi
naomba hata viongozi wa dini zote tuungane,viongozi wa vyama vya upinzani muwe pamoja nasisi katika kufanyikisha hili mimi nipo tayari wewe je?
Maandamano yanatumika pale sheria ilipovunjwa. Je! DOWANS wamekosea kuvunja sheria???.
Maandamano yanatumika pale sheria ilipovunjwa. Je! DOWANS wamekosea kuvunja sheria???.
I get thanks. am making a follow of the debate.
kaka upo ulimwengu gani?
Dowans wamevunja sheria...
Kwanza kuingia mikitaba ya wizi kimya kimya
pili mchakato uliotumika kuanda mkataba ni haramu
tatu ......kaka ninajaziba siwezi kuendelea kukujibu.we ni nani kwanza maana tutaanza kujuana maana dowans mnajificha sasa we ngoja
Mwanaharakati!!Hivi Mkinga ana deal na nini hapo jijini?