KadaMpinzani
JF-Expert Member
- Jan 31, 2007
- 3,715
- 86
yaani chenge kutokana na uwepo wake siku nyingi ndani ya bunge alikuwa hajui kama kuna camera ? au alikuwa anazibipu kama zinafanya kazi ??
halafu kama kweli tungeshikilia mkazo lile suala la mbowe kuhojiwa jinsi viongozi wanavyouliwa PENGINE haya yasingetokea ! Lakini its too late!
halafu kama kweli tungeshikilia mkazo lile suala la mbowe kuhojiwa jinsi viongozi wanavyouliwa PENGINE haya yasingetokea ! Lakini its too late!