Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,702
Kama DR Mwakyembe ishamuingia sasa si siku zake zinahesabika? hii biashara si kapelekwa Dar kwa uchunguzi tutasikia anapelekwa South Africa alafu yanakuja mengine. Huyu Andrea vijisenti kachukua na roho za baba wa watoto watuOf course, naomba kuwasisitiza wana JF kufikiria mbali zaidi. Hakuna uchawi, kuna kitu inatumiwa na inaua taratibu na mwisho mlengwa anakuwa ndio hivyo tena.
Tatizo kubwa ni kuwa sidhani kama kuna wataalam wa kuigundua hii kitu ikitokea imetumiwa na watumiaji wa kitu hii kutekeleza azma zao naamini wanajulikana japo yawezekana wanalindwa. Ni watu hatari kwa taifa letu na wa kuepukwa kwa nguvu zote. Wale wanaodhani hilo halipo Bongo basi niwahakikishie LIPO na tena wanajitahidi kuhakikisha watu mnaamini kuwa ni uchawi tu na ikiwezekana kukatokea lolote msahaulishwe na walengwa wawe wanaishia taratibu tu.
Beware!