Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,948
- 709
Naamini Chenge kama Mbunge ana wajibu wa kuwaelimisha wananchi si wa Bariadi pekee bali nchi nzima kwa kitendo alichokifanya humo ndani ya Bunge baada ya masaa ya kawaida. Au huenda akawa anahitaji kazi nyingine ya kuwa MSAFISHAJI na MUANDAAJI wa ukumbi wa Bunge. Wananchi wana haki ya kujua nini kilinyunyizwa kwenye hivyo viti.