Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,729
- 528
Kuna mabadiko yametokea Dar ambayo hata baadhi ya wakazi wake hawayafahamu. Yalianza kama miezi mwili ilopita. Kuna barabara maarufu kutoka Feri kwenda Aga khan hospitali kupitia pembezoni mwa Ikulu; mwezi ulipota ilikuwa si ruhusa magari kupita barabara hiyo baada ya saa 12.00 jioni lakini sasa imefungwa kabisa na hairuhusiwi kupita barabara hiyo.
Hiyo imenifanya nijiulize kulikoni? Maana inaashiria ule usala na amani tuliyokuwanayo vimepungua sana. Ni Al shabaab, au hali tete ya siasa Tanzania? Au?
Hiyo imenifanya nijiulize kulikoni? Maana inaashiria ule usala na amani tuliyokuwanayo vimepungua sana. Ni Al shabaab, au hali tete ya siasa Tanzania? Au?