Inaumiza sana kupoteza dada mwenye busara kama Regia,Japo sikumfahamu kwa kuonana nae ana kwa ana lakini busara yake na hekima aliyokua nayo ilinifanye nimheshimu na kumsikiliza kila aongeapo/aandikapo maada JF.RIP Regia wanaJF,tumepotelewa na Mtu mhimu sana hasa nikikumbuka juhudi zake katika kutupa habari kwa wakati muafaka.RIP once again
Mwenyezi Mungu aipumzishe roho ya marehem mahali pema peponi.
Bwana alitoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
Familia ya marehemu poleni sana kwa msiba huu mzito. Na pia wanaharakati wote na wote walioguswa na msiba huu poleni sana.
Rest in peace Regia. We will always remember you. You have been an inspiration to majority of people in Tanzania but i think God loved you than us. I know God has a plan on you and us and thats why he has called you to his kingdom. Its so sad but we will always live in hope....:disapointed:
ni majonzi makuu kwa wapigania haki za wanyonge kuondoka mapema wkt mchango wao 2nauhitaji, mpendwa DADA REGIA PUMZIKA KWA AMANI.MSALIMIE MPIGANAJI MWENZIO PHILIPO MAGADULA SHELEMBI. UWAPE RAHA YA MILELE NA MWANGA WA MILELE UWAANGAZIE WAPUMZIKE KWA AMANI. AMINA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.