Tupeni updates wakuu mimi sina access na media yoyote saiv.
Jamani wapi Arusha mambo,mbona hampatikani? Mnatunyima uhondo tulio maofisini.
isee mbatia amekaa karibu na mrema
Anaongelea UAMSHO-ZANZIBAR. La korosho amelijibu hovyohovyo tu.
isee mbatia amekaa karibu na mrema