Mamzalendo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 1,670
- 558
Sielewi kama nicheke au nilie jamani
wewe je?heri ya huyu mbunge kuliko wewe.....hasira zako za kijinga kweli.....nina mashaka nauwezo wako wa kufikiri......
mod funga hii theard na huyu mtu ale ban had jion kwa kutumia neno mahala ampapo si pale...hilp neno alilo bold.......
Wakuu natoa ruhusa kwenye hilo neno ambalo nimelibold mtu au mods waliedit waweke neno wanaloona wao linafaa, mimi binafsi nimeshindwa niweke neno gani!
Hebu ndugu Willium Malecela rudi kutoka huko uliko ukawasaidie watu wa jimboni kwako....itapendeza kama utakuwa mgombea wa CCM vs mgombea makini wa Chadema.Sasa hivi jimbo la Mtera halina mbunge,lipo wazi.
@ New York, USA, nimepata taarifa amenunuwa gari mpya NISSAN sasa muda mwingi yeye anapiga misele tu kwenye mitaa ya New York, sidhani kama atauona huu ujumbe wako, maana hana hata muda wa kulog in JF.
yule jamaa ni zaidi ya vilaza wooote duniani.. eti anasema magereza hayana haja ya kuboreshwa kwa kuwa watu watapenda kukaa gerezani... Huo ni upuuuuzi ulizo kiasi..
Mi ninachojua maamuzi magumu ya wana-mtera ni kumvua gamba huyu kilaza anaongea bungen kama mipasho vile au mtoto wa kike akigombana na shoga ake...
upuuuuuzi tuu