Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 31,275
- 31,404
Wengine wanabadili rangi ya nywele zao, wanaweka kalikiti ... yaani mi thijui kwa nini..hiyo nayo ni ishu, hivi kwanini lakini?
Wengine wanabadili rangi ya nywele zao, wanaweka kalikiti ... yaani mi thijui kwa nini..hiyo nayo ni ishu, hivi kwanini lakini?
Sasa hao wanaofanya hivyo nao ni wamasai...???? wamakonde...??? Kwa mmasai kufanya hivyo hatushangai kwa vile ni mila yake. HATA HIVYO TUPO MBIONI KUONDOA MILA POTOFUSijakufahamu...!
Wacheni kubeza asili zenu, kutoboa masikio, pua na ghasia zingine za kujiremba zipo tele kwenye tamaduni zetu. Leo hii eti imekuwa kero? Au ni kwa sababu badala ya kutia betri chakavu ama vipande vya miti kwenye masikio na badala yake kuweka almasi na dhahabu?
Rudi nyuma na kuwatizama Wamasai wa kiume na hasa Morani, jinsi wanavyojitahidi kuweka vipande vya miti na betri kubwa kwenye masikio yao, tizama Wagogo na nyunda zao, waangalie Wamakonde na chanja zao.. Watidinga na vimini vya miti...
Haya yote sio kero kwenu, kero ni tu pale sikio linapokuwa na dhahabu ama almasi...? Wacheni ulofa wa mawazo. Kwangu, hii si kero bali ni ufinyu tu wa kutazama wapi tumetoka na wapi tunaelekea...
Jamaa zangu wa kiume wanaweka mpaka wanja, na wanaita ni suna, hamjaliona hilo?
Hahaha! Mpwa bana. Wanaanzaga na masikio, then wanasuka nywele, kisha suruali inashushwa mpaka makalioni. Baada ya hapo wananunua line ya TiGo!
Kibunango leo vipi hoja zimepitia upande gani?Wacheni kubeza asili zenu, kutoboa masikio, pua na ghasia zingine za kujiremba zipo tele kwenye tamaduni zetu. Leo hii eti imekuwa kero? Au ni kwa sababu badala ya kutia betri chakavu ama vipande vya miti kwenye masikio na badala yake kuweka almasi na dhahabu?
Hamna sababu ya kurudi nyuma hapa Kibunango, wewe unawazungumzia Wamaasai wa wapi? Wamasai staili ya kutoboa masikio ni tofauti kabisa na tunayoisemea hapa. Kama hujui leo ukitoka kwenye kazi zako tafuta walipo Wamaasai wa Asili uwaangalie, husiwangalie waliovaa mavazi ya Kimaasai hapana ila Wamasai, kwa sababu kuna tofauti ya Wamaasai na wanaovaa mavazi ya Kimaasai ambao nahisi wewe ndio unawafahamuRudi nyuma na kuwatizama Wamasai wa kiume na hasa Morani, jinsi wanavyojitahidi kuweka vipande vya miti na betri kubwa kwenye masikio yao, tizama Wagogo na nyunda zao, waangalie Wamakonde na chanja zao.. Watidinga na vimini vya miti...
Kumbe kuvaa hereni ya dhahabu au almasi kwako ndio kero. Aisee waambieni Kibunango amesema wakitoboa wavae pini za kushonea nguo ngo. Hivi umewahi kuwauliza hao vijana kwanini wanatoga masikio au pua? Au umeandika hivi tu? Sasa mimi nilioongea nao wala sio mila zao wala sio kwamba wanavaa hereni za almasi wala dhahabu ndio maana imekuwa kero ila ni kwasababu hawajui hata sababu za kutoboa zaidi ya kuwaona akina Lil Bow Bow wametoboa ndio nao wakatoboa. Chunguza kwanza kabla ya kutuambia tuna ulofa wa mawazo otherwise inawezekana umejisemea mwenyewe MkuuHaya yote sio kero kwenu, kero ni tu pale sikio linapokuwa na dhahabu ama almasi...? Wacheni ulofa wa mawazo. Kwangu, hii si kero bali ni ufinyu tu wa kutazama wapi tumetoka na wapi tunaelekea...
Bro una saluni nini ya kufanyia haya mambo? Mbona unapigia sana debe au ndio mambo ya kura na kuanza kutambua umuhimu wa vijana. HahahahahaJamaa zangu wa kiume wanaweka mpaka wanja, na wanaita ni suna, hamjaliona hilo?
KibunangoSipo:
Pengine sijajua maana ya hii kero! Kwangu mimi sioni kama ni kero kwa vijana hao kujiremba kwa hereni za dhahabu ama almasi. Kwani haya yamekuwepo na yapo na yanaendelea kufanywa na baadhi ya jamii zetu hapa nchini, ingawa kwa viwango tofauti.
Kama kuzungumzia kero, ingefaa zaidi kuzungumzia tabia mbaya kama vile kufakamia machungwa na kutupa maganda yake barabarani, tabia za uchafu miongoni mwetu na mambo mbalimbali ambayo yanakwamisha maendeleo yetu.
Hili la kuvaa heleni sio kero kabisa, kwani lipo kwa miaka chungu nzima, sana sana vijana wa sasa badala ya heleni za betri na vipande vya miti.. wao wanatia heleni za dhahabu. Hii inawasaidia kutokuwa na masikio marefu mpaka kwenye mabega.
Tujaribu kuzungumzia kero zinazo zorotesha maendeleo yetu, badala ya kuangalia umaridadi wa mtu.
Sijakufahamu...!
Wacheni kubeza asili zenu, kutoboa masikio, pua na ghasia zingine za kujiremba zipo tele kwenye tamaduni zetu. Leo hii eti imekuwa kero? Au ni kwa sababu badala ya kutia betri chakavu ama vipande vya miti kwenye masikio na badala yake kuweka almasi na dhahabu?
Rudi nyuma na kuwatizama Wamasai wa kiume na hasa Morani, jinsi wanavyojitahidi kuweka vipande vya miti na betri kubwa kwenye masikio yao, tizama Wagogo na nyunda zao, waangalie Wamakonde na chanja zao.. Watidinga na vimini vya miti...
Haya yote sio kero kwenu, kero ni tu pale sikio linapokuwa na dhahabu ama almasi...? Wacheni ulofa wa mawazo. Kwangu, hii si kero bali ni ufinyu tu wa kutazama wapi tumetoka na wapi tunaelekea...
Jamaa zangu wa kiume wanaweka mpaka wanja, na wanaita ni suna, hamjaliona hilo?
Wakuu mbona naona kama ndugu Sipo hajajibiwa swali lake?..sababu ni nini...? Naona kama kila mtu amepandisha jazba na kutoa lawama na hatimaye kwenda nje ya mada...na kusahau "JF: Hoja hujibiwa kwa hoja"Kasi ya vijana wadogo wa kiume, miaka 15 - 25 kutoga masikio imeogezeka sana sio mijini tu bali na vijijini sasa tabia hii imeshika kasi. Sababu ni nini? Nawaomba waache
inaonyesha kuwa hiyo ni tabia ya kuiga toka nje ya nchi wameharibika vijana wa siku hizi inafika mpaka wanavuta unga wateja sasa waswahili husema mtoto ukimleavyo ndivyo akuavyo sasa wakulaumiwa ni Wazazi wa watoto hao wanaotoga masikio hawakuwalea vizuri watoto wa kulaumiwa ni Wazazi wao sio hao watoto upo an mimi mkuu sipo?Kasi ya vijana wadogo wa kiume, miaka 15 - 25 kutoga masikio imeogezeka sana sio mijini tu bali na vijijini sasa tabia hii imeshika kasi. Sababu ni nini? Nawaomba waache
Washoga wa Tanzania hawa!
Kasi ya vijana wadogo wa kiume, miaka 15 - 25 kutoga masikio imeogezeka sana sio mijini tu bali na vijijini sasa tabia hii imeshika kasi. Sababu ni nini? Nawaomba waache
Kasi ya vijana wadogo wa kiume, miaka 15 - 25 kutoga masikio imeogezeka sana sio mijini tu bali na vijijini sasa tabia hii imeshika kasi. Sababu ni nini? Nawaomba waache