Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,356
kumbe kuna suppoters wao. Sikujua hata kidogo
halafu Bluray wakati wa kuchangia mada epuka kutukana wachangiaji wenzako. I hate this and may be i hate ......... too
So Do I!
kumbe kuna suppoters wao. Sikujua hata kidogo
halafu Bluray wakati wa kuchangia mada epuka kutukana wachangiaji wenzako. I hate this and may be i hate ......... too
umri mdogo
So Do I!
kumbe kuna suppoters wao. Sikujua hata kidogo
halafu Bluray wakati wa kuchangia mada epuka kutukana wachangiaji wenzako. I hate this and may be i hate ......... too
Baada ya kupata line ya tigo wanatafuta watu wa kuwarecharge hizo tigo zao!!Hahaha! Mpwa bana. Wanaanzaga na masikio, then wanasuka nywele, kisha suruali inashushwa mpaka makalioni. Baada ya hapo wananunua line ya TiGo!
ulikua 'minor'....basi si kosa lako ila ishia hapo hapo...uvae suruali vizuri na usisubutu kusuka
Mbona hapa unaongea kama vile unijui? ulinipendaje hukuniona? suruale sishushi mi mtu mzima labda wewe ushushe kwa ridhaa yako mwenyewe bila kufosiwa na mtu wala kushawishiwa.
Wacheni kuwatukana Wamasai kienyeji....
Mbona hapa unaongea kama vile unijui? ulinipendaje hukuniona? suruale sishushi mi mtu mzima labda wewe ushushe kwa ridhaa yako mwenyewe bila kufosiwa na mtu wala kushawishiwa.
Wacheni kuwatukana Wamasai kienyeji....
Tunawalea, tuanze na haya yafuatayo...Nu juzi tu nimemwona kijana wa kiune ametoga mpaka pua, tunakoenda mhhhhhhh
hata wangelelewa kwenye kapu, vijana wanapenda kuiga sana
mzazi atajitahidi kulea lakini wakitoka na macho yao yaliyo uchi wanabamba kila kitu pasipo kuchagua. Stupid sana nyie watoto
Unajua siku hizi kila mtu anajidai mmarekani, utakuata hata hawa wanamuziki wametoboa masikio, wanajichubua, hivi kwani wakiimba bila kuvaa hiyo kata K, kusuka na kutoboa masiko hamtapenda nyimbo zao, au mashabiki mtawakimbia?
Tunawalea, tuanze na haya yafuatayo...
1. Akitangaza shoo ya muziki..... hatuendi na tunampa wazi kuwa sababu ni kutoga, tatoo, kata kei,...etc
2. Akifika dukani kununua chochote hatumuuzii (thijui kama wachaga wataliweza hili)........
3. Akikaa baa tunahama meza..........
4..... etc........
Hahaha! Mpwa bana. Wanaanzaga na masikio, then wanasuka nywele, kisha suruali inashushwa mpaka makalioni. Baada ya hapo wananunua line ya TiGo!
Kasi ya vijana wadogo wa kiume, miaka 15 - 25 kutoga masikio imeogezeka sana sio mijini tu bali na vijijini sasa tabia hii imeshika kasi. Sababu ni nini? Nawaomba waache
Sijakufahamu...!M-CCM ya wale mbona hayana shida
Tunawalea, tuanze na haya yafuatayo...
1. Akitangaza shoo ya muziki..... hatuendi na tunampa wazi kuwa sababu ni kutoga, tatoo, kata kei,...etc
2. Akifika dukani kununua chochote hatumuuzii (thijui kama wachaga wataliweza hili)........
3. Akikaa baa tunahama meza..........
4..... etc........
Wacheni kubeza asili zenu, kutoboa masikio, pua na ghasia zingine za kujiremba zipo tele kwenye tamaduni zetu. Leo hii eti imekuwa kero? Au ni kwa sababu badala ya kutia betri chakavu ama vipande vya miti kwenye masikio na badala yake kuweka almasi na dhahabu?Unajua siku hizi kila mtu anajidai mmarekani, utakuata hata hawa wanamuziki wametoboa masikio, wanajichubua, hivi kwani wakiimba bila kuvaa hiyo kata K, kusuka na kutoboa masiko hamtapenda nyimbo zao, au mashabiki mtawakimbia?