Fakhi Jumaa
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 239
- 47
wadau tafadhali naomba mnisaidie, kuna bwana mmoja kaniletea ipad anadai ni hii mpya(iliyorelease-wa Oct 2011) naombeni mnisaidie kwamba nitatofautishaje kati ya iPad 1, iPad 2 na hiyo iPad 3; msaada jamani naweza kuibiwa hapa