hermes
Member
- Jul 15, 2010
- 17
- 0
Jamani ligi ndo inakalibia kuanza Liverpool a.k.a liverpoor wame fulia kwa hiyo tunaomba michango yenu ili tuweze kuwasaidia katika usajili ili ligi iletemsisimko kama zamai.Mimi nimejitolea kwa kila mchezaji watakaye mtaka nitatoa asilimia 25 ya gharama za kumsajili na nitachangia asilimia 20 ya mshahara wake.:spy: