Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,070
Dear Members,
Naomba mtu anisaidie maelekezo ya kutoa mzigo ambao umetumwa kwenye taasisi ya elimu ambao unakuja kama donation. Kuna jamaa yangu anasoma huko nje sasa sehemu ya project yake amekusanya vitabu na vitu vingine ambavyo anataka kuvituma huku Tanzania kwenye shule ambayo itakuwa Singida au Arusha. Ameniuliza utaratibu wa kutoa bandarini unakuwaje? hebu naombeni malezo wakuu.
Naomba mtu anisaidie maelekezo ya kutoa mzigo ambao umetumwa kwenye taasisi ya elimu ambao unakuja kama donation. Kuna jamaa yangu anasoma huko nje sasa sehemu ya project yake amekusanya vitabu na vitu vingine ambavyo anataka kuvituma huku Tanzania kwenye shule ambayo itakuwa Singida au Arusha. Ameniuliza utaratibu wa kutoa bandarini unakuwaje? hebu naombeni malezo wakuu.