KASHOROBANA
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 3,241
- 963
:biggrin1: We chuma mboga huimaindi inaelekea wakati most women wanazipenda ile mbaya
muache tutamsaidia kumpa disaini uyo mkewe alomzoeza kifo cha mende
:biggrin1: We chuma mboga huimaindi inaelekea wakati most women wanazipenda ile mbaya
Ni mimi so wat?
staiki mbuz kagoma kwenda.DAH HII STAILI ITAKUWA NOUMA
Mwezi Mtukufu kwani watu hawaumwi? zomba
Kinachotakika utoe Dawa au maelezo hapa sipo mahali pa kulaumiana usilete Zogo zako bado hujaelemika tu mkuu wewe ni mtu wa wapi? zomba?K kucheka ni kuumwa? kuwa makini, usitishe watu kwa manufaa yako. Na niliongelea Ramadhan kwa namna ya comments zinavyofunguka siyo watu kuumwa. Nakwambia tena, ukisoma kuwa makini uelewe maana usiwe unakurupuka. Wewe mtu kaandika kabisa "ukeni" wewe umekurupuka na kuandika mambo ya digestion, nikakuuliza "ukeni" digestion ipi tena? ukakaa kimya hukujibu, hili la Ramadhan nalo unakurupuka eti "hawaumwi" inahusu nini? vipi kijana una msongo wa mawazo tukusaidie?:
Saga lozi vijiko vitatu vya chakula changanya na unga wa habat-sawda nusu kijiko cha chai, koroga na maziwa fresh glass moja, uwe unakunywa kila siku kabla ya kulala itakusaidia kuupooza ubonga na kukufanya uwe makini (sharp). Hiyo ni sadaka yangu ya Eid kwako na kwa wengine.
Kinachotakika utoe Dawa au maelezo hapa sipo mahali pa kulaumiana usilete Zogo zako bado hujaelemika tu mkuu wewe ni mtu wa wapi? zomba?
Nimekukamata kumbe wewe ni Mzaramo? nyie watu wa Kariakoo kila kitu mnajifanya mnajuwa na kupenda kuwakosoa wenzenu wewe utakuwa mmojawapo kati ya Mpenzi wa timu ya Simba au Yanga nimeshakupata sasa siwezi kupoteza muda wangu na mtu ambaye anapenda mambo ya kushindana humu ndani ya JamiiForums asante sana kwa kunifahamisha ukweli wako kwa heri sitoweza tena kukujibu wewe mtu wa Kariakoo zombaMimi mtu wa Dar Es Salaam, Kariakoo. Hupendi kuambiwa kweli na unapokosea hukubali, nna mashaka sana uelewa na upeo wako. mpaka mtu anachoandika unshindwa kukielewa tena kiko kwenye heading! Hiyo ndivyo ulivyo ekimika?
Hata ushauri ni dawa na huo nimeshautowa huko juu (yale yale, husomi unakurupuka) na hata wewe nimekupa prescription huko juu, soma vizuri utaona nimekupa dawa ya kukuongezea ufahamu, tena nimekwambia hiyo ni sadaka yangu ya Eid kwao. Ina maana nayo pia hukuona?
Kuelimika kwako koooote si sawa hata ya asilimia 1 ya upeo wangu! hilo zingatia sana. Upeo wako ni finyu sana tena sana na una mengi ya kujifunza kutoka kwangu na kwa wengine.
Nimekukamata kumbe wewe ni Mzaramo? nyie watu wa Kariakoo kila kitu mnajifanya mnajuwa na kupenda kuwakosoa wenzenu wewe utakuwa mmojawapo kati ya Mpenzi wa timu ya Simba au Yanga nimeshakupata sasa siwezi kupoteza muda wangu na mtu ambaye anapenda mambo ya kushindana humu ndani ya JamiiForums asante sana kwa kunifahamisha ukweli wako kwa heri sitoweza tena kukujibu wewe mtu wa Kariakoo zomba
Nyie zomba na MziziMkavu hapo juu.... Hapa tunajadili uke unaoachia ushuz.i tafazali.
Ni siku za karibuni amekuwa akilalamika kuwa akiamka asubuh huwa anatoa hewa inayoambatana na sauti hvi hki ni ktu gani?
Hizi mada zingine bana.
Nyie zomba na MziziMkavu hapo juu.... Hapa tunajadili uke unaoachia ushuz.i tafazali.
Title ya thread yako umesema KUTOA HEWA UKENI; ina maana unajamba tokea kwenye K??? Hii kweli inabidi wataalam watusaidie kama kweli unajamba kwa MBELE.....
ZOMBA analeta Udini kwenye Matibabu.... Ndo Tatizo la Jamaa ametawaliwa na Udini kila mahali utaweka Udini.. Anaongea Vitu ambavyo havina faida.
Huo si Ugonjwa ni Hewa Kujaa kwenye Uzazi na Mara nyingi hutokea kama Mwanamke atakuwa anafanya Mapenzi huku uke upo Juu(doggstyle) au kainama