Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,356
hizi huiwez wewe silaha za moto kaa mbali.
Na kweli. Mi bado mtoto. Ngoja nisepe.
hizi huiwez wewe silaha za moto kaa mbali.
kwa afya ya kizazi na afya yangu pia sipend mastail haya. tena kwa wale wanaoweka lupu kama njia ya kupanga uzazi staili hii inaweza kukuRIP kwa magonjwa na maumivu atii.
hii ni kweli kabisa dadangu wa moyoni, hzo style ni hatari kwa afya ya uzazi. hebu dr. Riwa na MziziMkavu wafunguke kuhusu hz style na afya ya uzazi!
MziziMkavu, muuliza swari kasema kutoa hiyo hewa ukeni, sasa kwa mujibu ya maelezo ya jibu lako inaonekana ni hewa inayotekea kwa njia ya haja kubwa..Na kama si hivyo nilivyokuelewa, swali..Je kuna kuna uhusiano gani wa tumbo la chakula kunakofanyika digestion na ukeni! Samahani kwa usumbufu mkuu..Unapojamba (farting) huna Matatizo tumboni, hiyo ni dalili kuwa digestion inafanyakazi vizuri kwani kitendo hicho huwa kinatoa gas na sumu tumboni. Unapobanwa usijizuie saana, jiachie kwa faida yako....ndiyo Caritha
Ukweli ni upi bosi?si kweli
MziziMkavu hujamuelewa mtoa mada, ye anazungumzia hewa inayotoka ukeni. kama alivosema mchangiaji hapo juu mara nying inatokana na ku-do kwa style ya chuma mboga/mbuz kagoma kwenda. hzo style huwa zinasababisha hewa kuîngia uken cos mtalimbo huwa haujazi uke na kufanya hewa kupita so bda ya tendo ile hewa hutoka nje ndo mana unasikia km unajamba.
solution: acha ku-do hzo style make sometime utakiumiza kizazi, sio salama kabisa!
Unapojamba (farting) huna Matatizo tumboni, hiyo ni dalili kuwa digestion inafanyakazi vizuri kwani kitendo hicho huwa kinatoa gas na sumu tumboni. Unapobanwa usijizuie saana, jiachie kwa faida yako....ndiyo Caritha
Ni siku za karibuni amekuwa akilalamika kuwa akiamka asubuh huwa anatoa hewa inayoambatana na sauti hvi hki ni ktu gani?
Kweli me huwa inanikera sana
Nilikuwa sikumuelewa vizuri samahani... Dickson Ng'hilyMziziMkavu, muuliza swari kasema kutoa hiyo hewa ukeni, sasa kwa mujibu ya maelezo ya jibu lako inaonekana ni hewa inayotekea kwa njia ya haja kubwa..Na kama si hivyo nilivyokuelewa, swali..Je kuna kuna uhusiano gani wa tumbo la chakula kunakofanyika digestion na ukeni! Samahani kwa usumbufu mkuu..
Mwezi Mtukufu kwani watu hawaumwi? zombaDah, mwezi mtukufu huooooooo umetuaga, lahaula!
Ni siku za karibuni amekuwa akilalamika kuwa akiamka asubuh huwa anatoa hewa inayoambatana na sauti hvi hki ni ktu gani?