Tofauti: kujamba ni dalili kwamba una matatizo tumboni.... yaani chakula kinaoza tumboni. Kujamba thru! ukeni hiyo kwangu ni mpya.Unapojamba (farting) huna Matatizo tumboni, hiyo ni dalili kuwa digestion inafanyakazi vizuri kwani kitendo hicho huwa kinatoa gas na sumu tumboni. Unapobanwa usijizuie saana, jiachie kwa faida yako....ndiyo Caritha
Kujamba UKENI hutokea mara tu baada ya kumaliza kufanya mapenzi. Ile pumping inapeleka hewa tumbo la ukeni hivyo baada ya muda hutoka. Huu si ugonjwa ila inatokana na hiyo shughuli hasa ikichukua muda mrefu sana. Hnh.Unapojamba (farting) huna Matatizo tumboni, hiyo ni dalili kuwa digestion inafanyakazi vizuri kwani kitendo hicho huwa kinatoa gas na sumu tumboni. Unapobanwa usijizuie saana, jiachie kwa faida yako....ndiyo Caritha
Kujamba UKENI hutokea mara tu baada ya kumaliza kufanya mapenzi. Ile pumping inapeleka hewa tumbo la ukeni hivyo baada ya muda hutoka. Huu si ugonjwa ila inatokana na hiyo shughuli hasa ikichukua muda mrefu sana. Hnh.
Unapojamba (farting) huna Matatizo tumboni, hiyo ni dalili kuwa digestion inafanyakazi vizuri kwani kitendo hicho huwa kinatoa gas na sumu tumboni. Unapobanwa usijizuie saana, jiachie kwa faida yako....ndiyo Caritha
Tofauti: kujamba ni dalili kwamba una matatizo tumboni.... yaani chakula kinaoza tumboni. Kujamba thru! ukeni hiyo kwangu ni mpya.
MziziMkavu hujamuelewa mtoa mada, ye anazungumzia hewa inayotoka ukeni. kama alivosema mchangiaji hapo juu mara nying inatokana na ku-do kwa style ya chuma mboga/mbuz kagoma kwenda. hzo style huwa zinasababisha hewa kuîngia uken cos mtalimbo huwa haujazi uke na kufanya hewa kupita so bda ya tendo ile hewa hutoka nje ndo mana unasikia km unajamba.
solution: acha ku-do hzo style make sometime utakiumiza kizazi, sio salama kabisa!
haya bwana bora miye na death of chockroach sinaga kjamba kwa mbele.
Msaada jamani wadau mbona kimya?
OOOwk......meelewa jambo leo
Eti? Ndo nini hicho?
haya bwana bora miye na death of chockroach sinaga kjamba kwa mbele.
:biggrin1: we chuma mboga huimaindi inaelekea wakati most women wanazipenda ile mbaya