Da Womanizer
JF-Expert Member
- May 24, 2010
- 1,577
- 148
hahahaha
duh bado sijamjambia mtu aisee
Ya nini kutoka nje, kuna wakati mwingine ni vigumu kujizuia ni kuachia tu!
Kama mstaarabu, ukishaachia unamwomba mwenzako msamaha.
mhh,umenisisimua sana na kauli hii,i dont know why...........
Mara zote tu!mpaka asubuhi. ha ha ha!Hasa kama umeshindilia maharage na mayai ya kuchemsha utatoka mara ngapi? humo humo tui
Kwanini unajiumiza, wewe toa tu tena ni mojawapo ya jokes kwa wawili wapendanao, kwanini umuonee aibu mpenzio?yaaaani nmecheka mbavu sina na hii sread, maana me huwa nabana cjawahi kumjambia mtu lol!
jamani hata hapana ...............mie pia sijawahi na sina nia ya kuwahi katika kipindi hichi cha karibuni. labda baada ya maika kama 10 ijayo hivi.......maana nasikia kila ukikuwa na haya zinakupungua! sijui kuna ukweli hapo?
Gaijin, una muda gani kwenye game?...yaani mie nijaze ma gec tumboni kisa namuogoa/hofia mr, haiwezekani, ctaachia mbele za watu lakini nikiwa nae popote panaporuhusu cjibani, kisa cha kuvimbiwa na mtu ananijua kila kona ya mwili ni nini?
Nyamayao nakupendea hapo....Hunaga UNAFIKI.
I hope hayo unasema ndo unatenda.
Sasa wewe unashangaa kutoa hewa chafu, je ku-poopoh wakati mwenzako anaoga hapo pembeni yako? Ndoa is the place you can be yourself bwana, huko kwenye nyumba ndogo ndo unaweza ku-act. Utajizuia miaka 10, si utapata kansa ya utumbo mnene?