Kimbweka
JF-Expert Member
- Jul 16, 2009
- 8,597
- 1,683
Mara nyingi kiafrika wanandoa hulala pamoja! Nina swali! Iwapo mmoja wenu ana haja ya kutoa hewa chafu (kujamba) wakati wa usiku ni lazima atoke out of room akimaliza arudi kuuchapa usingizi au shughuli inamaliziwa hapo hapo! Na je hii inaathari yeyote kwa uliye naye kitandani kwa muda huo....
Naomba wenye uzoefu mnijuze
Naomba wenye uzoefu mnijuze