mgodi
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 2,780
- 1,845
Mkuu MziziMkavu mpe majibu ya kitaalamu huyu mwanzisha uzi, naamini utakuwa umewapa darasa wengi.
Last edited by a moderator:
halafu waleee wanatembea kwa maringoMkuu@Rose1980 Wanapenda kutembea bila viatu bila viatu katika shamba zuri la bustani.......................................... Wanalia kwakwa kwakwaa kwakwa kwakwaa katika shamba zuri la bustani................
"Remember that it was one sajood/sajda that Iblis (Satan) refused to make. How many sajoods/sajdas do we refuse to make everyday?" - Think about it...
hata mimi natumia njia hii lakini kuna kitu ambacho ningehitaji ufumbuzi, kwa mfano baada ya mechi kuanza na nataka kupiga bao nikachomoa na kupiga bao nje; na nataka kuendelea na mechi je, nikiingia tena kwenye mechi hakuna uwezekano wa sprem kuwa zilibaki kwenye urethra na zikasababisha mimba? kwa kutofahamu huwa naamua kuikamua machine kabla sijaendelea na mechi nyingine ili kuhakikisha sprem hazibaki kwenye urethra na kusababisha mimba; je, hii ina madhara gani?Its ok, it is one of the commonly adviced method for birth control. Wala usichanganyikiwe kutokana na hilo. Familia nyingi ambazo hazitaki kutumia contraceptives wanatumia hii method. Just be happy man.
Personally sidhani kama ina madhara. Ukijua biologia ya fertilization pengine unaweza usihitaji hata huko kukamua. Kwa sababu kisheria ili fertilization iweze kutokea inabidi angalua kuwe na mbegu zinazozidi milioni moja. So sidhani kama yale matone yanayobakia mle yanaweza kusababisha fertilization. Kuna process ndefu kwenye fertilziation ambayo inaweza ikahitaji somo la siku nzima hapa.hata mimi natumia njia hii lakini kuna kitu ambacho ningehitaji ufumbuzi, kwa mfano baada ya mechi kuanza na nataka kupiga bao nikachomoa na kupiga bao nje; na nataka kuendelea na mechi je, nikiingia tena kwenye mechi hakuna uwezekano wa sprem kuwa zilibaki kwenye urethra na zikasababisha mimba? kwa kutofahamu huwa naamua kuikamua machine kabla sijaendelea na mechi nyingine ili kuhakikisha sprem hazibaki kwenye urethra na kusababisha mimba; je, hii ina madhara gani?
jaribuni kuanadika vitu vya kusisimua. si chini ya kitovu siku zote. je, mmewaghi kufikiria kuhusu maendeleo. sex every time!! duh....! wabongo!!! nitajitoa katika hii JF.
MziziMkavuMkuu@Malova Haipendezi ni sawa sawa tu na mtu anayekula chakula kisha akajitia vidole rohoni ili apate kutapika asipate kunenepa je na hiyo pia inapendeza mkuu?
Mkuu@Rose1980 Wanapenda kutembea bila viatu bila viatu katika shamba zuri la bustani.......................................... Wanalia kwakwa kwakwaa kwakwa kwakwaa katika shamba zuri la bustani................
hata mimi natumia njia hii lakini kuna kitu ambacho ningehitaji ufumbuzi, kwa mfano baada ya mechi kuanza na nataka kupiga bao nikachomoa na kupiga bao nje; na nataka kuendelea na mechi je, nikiingia tena kwenye mechi hakuna uwezekano wa sprem kuwa zilibaki kwenye urethra na zikasababisha mimba? kwa kutofahamu huwa naamua kuikamua machine kabla sijaendelea na mechi nyingine ili kuhakikisha sprem hazibaki kwenye urethra na kusababisha mimba; je, hii ina madhara gani?
Uwezekano wa manii zilizobaki kwenye njia ya mkojo kutunga mimba ni mkubwa sana kwasababu katone kamoja tuu kanakuwa na mamilion ya manii, huwezi jua kama zile zilizobaki kwenye njia ya mkojo ndo zenye kuhimili mikiki mikiki ya safari ndefu yakufika kwenye yai.nikiingia tena kwenye mechi hakuna uwezekano wa sprem kuwa zilibaki kwenye urethra na zikasababisha mimba?
kwa kutofahamu huwa naamua kuikamua machine kabla sijaendelea na mechi nyingine ili kuhakikisha sprem hazibaki kwenye urethra na kusababisha mimba; je, hii ina madhara gani?
@FirstLady1 Kiafya si tatizo ila haipendezi kumwaga nje Raha yote unaitowa . Raha ya shamba ulimwagie maji usipolimwagia maji shamba halitakuwa na neea yoyote ile.
@mgodi Mkuu nimpe majibu gani wakati swali lake analoliuliza halina maana yoyote ile. Iweje ufanye mapenzi na mke wako au mpenzi wako kisha umwage nje?na huyo mpenzi wako au mke wako atakubali hivyo?Siwezi kutoa ushauri wowote ule hapa samahani.Mkuu MziziMkavu mpe majibu ya kitaalamu huyu mwanzisha uzi, naamini utakuwa umewapa darasa wengi.
Mkuu@Rose1980 Wanapenda kutembea bila viatu bila viatu katika shamba zuri la bustani.......................................... Wanalia kwakwa kwakwaa kwakwa kwakwaa katika shamba zuri la bustani................
MkuuRose1980 Umenikumbusha mbali kuhusu hayo Mawimbi yanayo kupeperusha wewe ahh wacha tu bibie Rose1980 hujambo lakini?....kwa mbali bahariniiiiiiiiiiii....mawimbi yanatupeperusha.....