Hivi mtu akikuonyesha ndo kakulazimisha twende??Punguzeni tamaa....macho mbele mbele kama tochi!!!
Mimi napenda mtuonyeshe zaidi. Yaani siyo tu matiti, kutikisa makalio, kitovu na mapaja. yaani naenjoy sana. Nawashangaa wanaume wasiopenda. Na mara nyingi huwa nafika kileleni kwa kuangalia tu kwa makini. Nikirudi hme kwa mamsup nakuwa nimeshashiba. nalala tu
Basi mkituonesha mtuonjeshe pia ha ha haaaa
kila mtu anayaona hadi mdogo wako wa kiume? loooo, hadi majitu ya ajabuajabu tu yanajua jinsi maziwa yako yalivyo? yalitakiwa yawe spesho kwa umpendae tuu sio kila mtu anakuchungulia tuu. aibu kwa mwanamke anayejiamini na kujiheshimu.
Hehe na bado!Kila siku sketi zinafupishwa zaidi..suruali zinabanwa zaidi..top zinabanwa,zinafupishwa chini na kushushwa kifuani zaidi !Anzeni na nyie kututega basi!
Jamani tuongelee yote siyo makalio tu. Akina dada wamebuni vivutio vingi zaidi ya kutikisa makalio. Angalia wanavyoacha vitovu waziwazi na robo tatu ya maziwa yanakuwa nje. Kweli wanaume tutapona?
Sisi mbona siku nyingi tu tunawatega na mnajileta wenyewe au bado hamjaona mitego yetu?Sisi mitego yetu ni Noti tu mama.......
Tembeeni uchi kabisa, maana kama huko kujiachia hakuta leta matarajio mnayoyatarajia basi hamna budi kutembea uchi kabisa tuone vizuri
Mbona mi sijawahi kutegwa?Au mnachagua wakumtega?
Mm napenda kuanika nyonyo zangu lakini bra za kuyaseti zinaumiza yaani ikifika jioni lzm nitumie dawa za kupunguza maumivu . Lkn raha kuyaacha yapunge hewa
Kunona nako kunasaidia?Nlidhani kua kimbaumbau ndo kila kitu!Ngoja nianze kula kwa kasi...nataka na mimi nitegwe mwaka huu!Pole mama au haujanona...??? hahahaha... joke.......
Ye anajitesa ili muone na wewe unateseka ukiona!Yani hapo ni 50/50.Wakati unapunga upepo wengine suruali hazitoshi, zinabana kana kwamba fundi alipunguza kipimo! Jamani wenzenu tunateseka sana!
Kunona nako kunasaidia?Nlidhani kua kimbaumbau ndo kila kitu!Ngoja nianze kula kwa kasi...nataka na mimi nitegwe mwaka huu!
Inategemea unaishi katika jamii ipi..............