....Kuthubutu!



Winner%202%5B8%5D.jpg


...ni wakati gani? katika mapenzi ulipo thubutu na kujiaminisha 99.9% 'nanihii...' wako... er..I mean - (incl. ex-wife/husband, current spouse, widow, etc) alistahiki "HASWA" kuoana na wewe!

Angalizo;...nalenga mdahalo huu kwenye "matakwa na uchaguzi wako" uliyojitoshelezea wapi mpaka ukaona; -'huyu ndiye kabisa, hakuna kuliko kama yeye aisee!'-

Kwangu ni mara mbili na nilikuwa najiamini !00%. Mara ya kwanza ilikuwa "huyu ndie ......... hakuna mwengine" na mara ya pili "huyu ndie ......... anafaa kumsaidia mwenziwe"
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
....kila mtu anakwepa swali, duhh? Au mlitaka niwaulize mmewapendea "SIFA" gani kuu hao wenza wenu, (waliokuwa wenza wenu---kabla ya 'ujane'...iwe mwanaume/mwanamke)

...mwanajamiiOne, Chauro, king'asti....fungukeni!
 
Hahaaa Mbu subiri kwanza nijisheheni rubisi maana naweza ambulia mangumi ya uso lol!

....kila mtu anakwepa swali, duhh? Au mlitaka niwaulize mmewapendea "SIFA" gani kuu hao wenza wenu, (waliokuwa wenza wenu---kabla ya 'ujane'...iwe mwanaume/mwanamke)

...mwanajamiiOne, Chauro, king'asti....fungukeni!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
....kila mtu anakwepa swali, duhh? Au mlitaka niwaulize mmewapendea "SIFA" gani kuu hao wenza wenu, (waliokuwa wenza wenu---kabla ya 'ujane'...iwe mwanaume/mwanamke)

...mwanajamiiOne, Chauro, king'asti....fungukeni!

Hahhahha Mbu umeshikia Bango aisee.................Mie ntafunguka.

Kwa ex wangu ninakiri niliathiriwa na peer group................... at that tender age, kila rafiki alonizunguka alikuwa ameolewa (sikuwa na marafiki wengi thou na sina tabia ya kuwa na marafiki). So siku alipopropose kuoa (tena nakumbuka ilikuwa through simu) nilijikuta nashift....from asking myself whether he is the right man to I am a well brought up gal so atanipenda; I have experience from my Mama's marriage so nina uwezo wa kuvumilia lolote. Nikajikuta nasema YES na kuanza kudesign my wedding gown (Oh yeah I did my own designing aisee)!!

You see what I mean?? But I do not regreat it kwa sababu it has become my eye openner aisee!
 
Hahahaha....mwanajamiiOne ewe soulmate, ndio wataka nambia wewe ulithubutu kwakuwa tu alikuwa the 1st to propose?

Aisee....hebu funguka bana. Unaposema kwa simu, ulichovutiwa ni lile bass, au sauti ya kubembeleza?...
 
Alikuwa anamendewa sana na limjamaa lenye fedha zake. Alivolipiga chini mbele yangu na kunitambulisha kwake kuwa mi ni fiancee wake (japo haikuwa kweli) nilipata mhemko. Haikupita muda sana nikapropose marriage unajua nlijibiwaje?

Duuuhh, mkuu tiririka! :D ....enhe?
Wewe ulithubutu sababu ya "kukupaisha mtaani?" Haha...
 
Hahahaha....mwanajamiiOne ewe soulmate, ndio wataka nambia wewe ulithubutu kwakuwa tu alikuwa the 1st to propose?

Aisee....hebu funguka bana. Unaposema kwa simu, ulichovutiwa ni lile bass, au sauti ya kubembeleza?...



Haha hapana Mbu si kwamba ilikuwa mara ya kwanza no. na si kuwa tulikuwa hatujaonana no. Nimesema kwa simu kuonyesha jinsi ambavyo haikuwa that important kwake dah!!

.........Nadhani I was worried na umri (ingawa bado I was at my tender age aisee)
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mbu mie nilimpenda sababu aliikuwa very smart yaani nikimuona tu roho kwatu na sura alikuwa nayo ha ha ha usiniulize zaidi bana kha!!!!!

....:D ...."alikuwa smart"...."sura alikuwa nayo!".....mnh! funguka DA...funguka....ulithubutu, ukatenda! halafu?
 
hivi boss wafikiri ni kwanini hiyo doubt inakuwepo? jamani hapa tusimsingizie shetani kabisa tatizo ni letu wenyewe wanandoa.

hivi kama ulitamani hiyo ndoa ili na wewe uvae pete za dhahabu kidoleni na ndoa ipite baharini wafikir hutokuwa na wsiwasi?hivi kama ulipenda niolewee mfano na boss ili niingie kwenye jumba kubwa la kifahari, nendeshe toyota progress wafikir ntaacha kuwa na wasiwasi? hvi kama nilitaka niolewe kwasababu shost wangu cacico kaolewa na ndoa yake ikafana sana so nataka nijibu mapigo nitaaacha kuwa na wasiwasi? hivi kama naolewa kisa ndugu zangu, marafiki,majirani wamezidi kunisema na umri umekwenda ntaacha kuwa na hofu? hivi kama naolewa kisa mama ni mchangaji mzuri wa kwenye harusi za wengine na mimi nimekuwa mtu maarufu kwa kwenda kwenye minuso ya watu so leo nataka na mimi niwaite waje kwangu nitaacha kuwa na hofu? hivi kama naolewa sina malengo yeyote ya ndoa wala upendo, uvuumilivu, uwajibikaji, nia njema na wito wa kindoa sina nitaacha kuwa na wasiwasi?

yani asikufiche mtu kaka mkubwa ishu ni unaolewa kwasababu gani ndicho kinachomata, ndoa mbona hata jogoo anazo nyingi tu au fahali anazo nyingi sana?

yawapasa mabinti kukaa chini na kuplan kwa kumaanisha na kufikiri kwa umakini ausifumbie macho makosa ya mwenzi wako yapime kabla ya kuingia angalia kama waweza kuyavumilia na kama hutamchukia bali utayachukulia kama changamoto kwako. mbona maisha ya ndoa ni mazuri sana jamani kama tu utu wa ndani utaiona ndoa kama ibada kwako?

tatizo ni kuwa sio wote wana pata hizo option...
na ndo maana ndo nyiingi zinatokea ili tu kutimiza lengo fulani..
ndo maana matatizo hayaishi still...
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Lol kuna dada yangu alinisimulia kuwa ile siku ya arusi, pale kanisani alipoulizwa kama anakubali kuolewa na Mr yule, alipatwa na kigugumizi kiasi cha kujikuta anamforce Padri kuuliza zaidi ya mara moja. Akanambia si kwamba alifanya kusudi amrushe roho mumewela bali alikuwa anajiuliza kama anafanya uamuzi sahihi au la! Na akakiri kuwa lilimjia wazo la kujiangusha ili ajizimishishe kwani alijua anafanya makosa................ ingawa bado wako wote lakini cha moto anakiona!

umeona?
na mtu wa nje anaweza kutazama akasema 'ndoa yao ni ya mfano'
kumbe hajui kilichopo...
na usikute huyo ndugu yako sometimes hujisifia
'niko kwenye ndoa mwaka wa kumi huu' huku ukweli anaujua mwenyewe
na walioshindwa ndoa zao humuonea wivu labda lol
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
sidhani kama nimeelewa natakiwa sema nini. Ngoja niendelee ssoma komenti za wengine tu.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
kumbe unataka jua nimempendea nini?

He's a man of his word, pure an african man kitabia.

....kila mtu anakwepa swali, duhh? Au mlitaka niwaulize mmewapendea "SIFA" gani kuu hao wenza wenu, (waliokuwa wenza wenu---kabla ya 'ujane'...iwe mwanaume/mwanamke)

...mwanajamiiOne, Chauro, king'asti....fungukeni!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Smile, wewe unahitaji maombi ya ukombozi. Uje na kanguruwe ama kambuzi tufanye sadaka ya kuteketeza. Mkaa najitolea.
King'asti my dada....mi nakuunga mkono, sasa kimila kwetu mi ndo ntajitolea kuchinja, tuwaombe wazee aisee! kha!
 
Last edited by a moderator:
na mnyama anayetakiwa kutolewa sadaka unaye?

Tena asiteketezwe ila awekwe kwenye kiungo cha binti huyu kwa masaa matatu.

Mnyama huyo anatakiwa awe agressive asione huruma, basi pepo litamtoka kabisa.

Zikikaa siku nyingi zinaleta pepo.

King'asti my dada....mi nakuunga mkono, sasa kimila kwetu mi ndo ntajitolea kuchinja, tuwaombe wazee aisee! kha!
 
Last edited by a moderator:
Alikuwa anamendewa sana na limjamaa lenye fedha zake. Alivolipiga chini mbele yangu na kunitambulisha kwake kuwa mi ni fiancee wake (japo haikuwa kweli) nilipata mhemko. Haikupita muda sana nikapropose marriage unajua nlijibiwaje?

ulijibiwaje???????
 
Alikuwa anamendewa sana na limjamaa lenye fedha zake. Alivolipiga chini mbele yangu na kunitambulisha kwake kuwa mi ni fiancee wake (japo haikuwa kweli) nilipata mhemko. Haikupita muda sana nikapropose marriage unajua nlijibiwaje?

Tupe majibu hayo mkuu,tunayasubiria! Am smelling a wonderful and lovely story out of those answers...!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom