BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,162
loh.........
mbu unajua swali gumu sana hilo?
hivi nilithubutuje??????????
nakumbuka nilikuwa nimejaa mapenzi....
nikimuona napata faraja....
natamani kuwa nae karibu siku zote....
tabia zake niliridhia nazo..
matendo yake yalinifanya nikaridhika kwamba huyu atakuwa baba bora kwa wanangu
niliridhika kwamba ni mume mwema kwangu...
bila kusahau tabia...
alivyokuwa mwema kwangu, akinijali na kunithamini....akiheshimu wazazi wangu
body language yake na familia yangu(bros n sisters)
malove
mapenzi
makopakopa....
uwiiiiiiiiiiiiiiii sijui kama nimeelezea......
ila mapenzi ndo yalitoa msukumo, mapenzi ndiyo yalinifanya/yananifanya kumuona kuwa "ndiye"
mapenzi ndiyo yaliyonipa/yanayonipa ujasiri wa kuwa nae.....
ni mapenzi tu.....
mbu unajua swali gumu sana hilo?
hivi nilithubutuje??????????
nakumbuka nilikuwa nimejaa mapenzi....
nikimuona napata faraja....
natamani kuwa nae karibu siku zote....
tabia zake niliridhia nazo..
matendo yake yalinifanya nikaridhika kwamba huyu atakuwa baba bora kwa wanangu
niliridhika kwamba ni mume mwema kwangu...
bila kusahau tabia...
alivyokuwa mwema kwangu, akinijali na kunithamini....akiheshimu wazazi wangu
body language yake na familia yangu(bros n sisters)
malove
mapenzi
makopakopa....
uwiiiiiiiiiiiiiiii sijui kama nimeelezea......
ila mapenzi ndo yalitoa msukumo, mapenzi ndiyo yalinifanya/yananifanya kumuona kuwa "ndiye"
mapenzi ndiyo yaliyonipa/yanayonipa ujasiri wa kuwa nae.....
ni mapenzi tu.....