Ni mchezo mkali sana uliochezwa,.. ni Kweli Mh.wetu ana lengo zuri la kumteua Mbatia kuwa Mbunge?, au ni mbinu ya kutaka kupooza makali ya Chadema ndani ya Bunge?, au ni mbinu ya kutaka kuwageuza wana NCCR walioamua kuhama kwenda Chadema baada ya kuona kiongozi wao na Chama kupoteza Muelekeo?,.... Itajulikana.