Kuteuliwa kwa Mbatia ni Kuongeza Nguvu dhidi ya Chadema Bungeni?

UTAJUA

Member
Apr 4, 2012
68
17
Ni mchezo mkali sana uliochezwa,.. ni Kweli Mh.wetu ana lengo zuri la kumteua Mbatia kuwa Mbunge?, au ni mbinu ya kutaka kupooza makali ya Chadema ndani ya Bunge?, au ni mbinu ya kutaka kuwageuza wana NCCR walioamua kuhama kwenda Chadema baada ya kuona kiongozi wao na Chama kupoteza Muelekeo?,.... Itajulikana.
 
sereka inaweza kutunisha misuli yake kwa kwa Chadema kupitia Mbatia lakini kila jema na baya litaonekana hamna hujuma inayofichika. Time tells, wakati ukuta
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom